Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
simu haipo kwa kuwa alikuwa nayo kabla hajalewaTupe Status ya marinda
Dah mitaa yangu hiyo,..makutano, mabibo vina, Hadi mitaa ya luhanga...pamoja Sana ndg yanguKuna mtu wa mabibo makutano nao a leo kaamka kuwaponda marafiki hapa
Aahaahahaha .... kwakua alifanikiwa kulipa bills baada ya kuuza vitu vya thamani ...hawakuchek tena marindaTupe Status ya marinda
Hukonilikuwaga na boyfriend miaka hiyo, bangi za naccoz zikamzidia nikamtema.Dah mitaa yangu hiyo,..makutano, mabibo vina, Hadi mitaa ya luhanga...pamoja Sana ndg yangu
Dah....Watu wa Mbeya wabaya sana, wamemtatua Marinda bila ya ridhaa yake..Mbaya sana.....Bora angekuja huku Pemba....View attachment 2258035
Dogo amekula kichapo heavy , inasemekana hata marinda yametatuliwa.. wanangu wa Mbeya wakishiba viazi sio watu poa