Msanii wa kabila la Oroqen atengeneza sanaa kwa kutumia gamba la mti wa mbetula

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Msanii wa kabila la Oroqen Bw. Guo Baolin kutoka mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China, ni mrithi wa usanii wa utengenezaji wa sanaa za gamba la mti wa mbetula, ambao ni urithi wa utamaduni usioshikika nchini China.

Mke na binti yake pia wanamfuata na kufanya tarizi murua za jadi za kabila la Oroqen na sanaa za gamba la mti wa mbetula, ambao wanaenzi urithi wa utamaduni usioshikika.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…