donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Msanii wa kibongo anayechipukia aitwae Davista, ameomba kwa mtu yeyte mwenye connection na msanii Tekno aweze kumfanyia mchakato akutane nae kwa maana anaamini kutokana na kufanana kwao kwa kiasi fulani inaweza kumsaidia akatoboa kimuziki.
Aidha, msanii huyo kwa sasa anatamba na kibao chake kiitwacho super woman.
https://youtu.be/MWcR8cfJ-04
Aidha, msanii huyo kwa sasa anatamba na kibao chake kiitwacho super woman.
https://youtu.be/MWcR8cfJ-04