AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Msanii wa Kimataifa "Alikiba" anayetamba na kibao cha #Aje aendelea ku-make headlines Africa na dunian kote hasa baada ya kupata dili nono, Baada ya Kuwa offical brand ambassodor wa kampni kubwa la uuzaji wa Vifaa vya muziki Africa "AGK" lenye makao yake makuu South Africa, leo hi tena kapata dili nono la kuwaAmbassador wa Shirika kubwa la"Oliver jam Food foundation" lenye makao makuu uingereza linalojihusisha na afya, ubora wa chakula kwa watoto duniani, shirika hili lina partnership na WHO.
Ikumbukwe pia bado dili 4 ambazo msanii Alikiba ataisaini week ijayo kama sehemu ya mafanikio yake, ambapo madili haya nono yanamuweka Alikiba katika nafasi ya juu kama brand ya kimataifa. Kwahiyo hakuna shaka kwa sasa Alikiba ni msanii anyeongoza kwa kupata dili nono kwa wasanii wa Africa Mashariki.
Ikumbukwe pia bado dili 4 ambazo msanii Alikiba ataisaini week ijayo kama sehemu ya mafanikio yake, ambapo madili haya nono yanamuweka Alikiba katika nafasi ya juu kama brand ya kimataifa. Kwahiyo hakuna shaka kwa sasa Alikiba ni msanii anyeongoza kwa kupata dili nono kwa wasanii wa Africa Mashariki.