Msanii wa Kimataifa Alikiba kwenye headlines tena baada ya kupata dili nono hili tofauti na Sony!!

Msanii wa Kimataifa Alikiba kwenye headlines tena baada ya kupata dili nono hili tofauti na Sony!!

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Msanii wa Kimataifa "Alikiba" anayetamba na kibao cha #Aje aendelea ku-make headlines Africa na dunian kote hasa baada ya kupata dili nono, Baada ya Kuwa offical brand ambassodor wa kampni kubwa la uuzaji wa Vifaa vya muziki Africa "AGK" lenye makao yake makuu South Africa, leo hi tena kapata dili nono la kuwaAmbassador wa Shirika kubwa la"Oliver jam Food foundation" lenye makao makuu uingereza linalojihusisha na afya, ubora wa chakula kwa watoto duniani, shirika hili lina partnership na WHO.

Ikumbukwe pia bado dili 4 ambazo msanii Alikiba ataisaini week ijayo kama sehemu ya mafanikio yake, ambapo madili haya nono yanamuweka Alikiba katika nafasi ya juu kama brand ya kimataifa. Kwahiyo hakuna shaka kwa sasa Alikiba ni msanii anyeongoza kwa kupata dili nono kwa wasanii wa Africa Mashariki.
 
duh jamaa una haraka kweli, kimsingi duka ni AKG na taasisi ni JAMIE OLIVER FOOD
 
Hayo madili yote yanathamani ya kiasi gani?

Siko interested na masula ya makundi sujui Timu na vitu kama hivyo..

Just want to know, Mafanikio makubwa ya Kiba kwenye madili hayo, maana huko nyuma tumezika wasanii wakubwa wenye vipaji bomba wakiwa masikini wa kutupwa, tunapoona taarifa kama hizi zinatupa faraja kwa wasanii wetu kuweza kunufaika na kazi za vinywa vyao.

Ila tu taarifa ziwe kamili siyo za kubumbabumba maadamu tu kumake attention naku gain popularity for nothing!!!

Tafadhali tiririka mkuu

BACK TANGANYIKA
 
Kiba anakua overrated ru,hakuna la maana hii ni sawa na tisha toto subiruni Kili awards ndio size yenu
 
Hayo madili yote yanathamani ya kiasi gani?

Siko interested na masula ya makundi sujui Timu na vitu kama hivyo..

Just want to know, Mafanikio makubwa ya Kiba kwenye madili hayo, maana huko nyuma tumezika wasanii wakubwa wenye vipaji bomba wakiwa masikini wa kutupwa, tunapoona taarifa kama hizi zinatupa faraja kwa wasanii wetu kuweza kunufaika na kazi za vinywa vyao.

Ila tu taarifa ziwe kamili siyo za kubumbabumba maadamu tu kumake attention naku gain popularity for nothing!!!

Tafadhali tiririka mkuu

BACK TANGANYIKA
wanatangaza madili lakini awatangazi thamani ya hayo madili
 
Ni matunda baada ya kufanya kazi kwa bidii. Niliwahi kusema kwenye thread maalum ya Alikiba kuwa ile Koroga Festival itampeleka katika mafanikio makubwa.
Ilikuwa show kubwa sana na kwa bahati walioushika muziki Africa na kidunia walikuwepo na kuona kazi nzuri ya Alikiba jukwaani na wote walishangazwa na uwezo wake.
Ilikuwa moja ya matukio makubwa ya nchini Kenya nyuma ya ujio Barack Obama na Pope Francis nchini Kenya.
Hii iwe fundisho kwa wasanii wetu kujali sana wanapotumbuiza wakiwa jukwaani, kwani huwezi jua ni nani anayeshuhudia onesho lako kwa siku hiyo.
Hongera Alikiba, hongera Rockstar4000.

Ova
 
Hayo madili yote yanathamani ya kiasi gani?

Siko interested na masula ya makundi sujui Timu na vitu kama hivyo..

Just want to know, Mafanikio makubwa ya Kiba kwenye madili hayo, maana huko nyuma tumezika wasanii wakubwa wenye vipaji bomba wakiwa masikini wa kutupwa, tunapoona taarifa kama hizi zinatupa faraja kwa wasanii wetu kuweza kunufaika na kazi za vinywa vyao.

Ila tu taarifa ziwe kamili siyo za kubumbabumba maadamu tu kumake attention naku gain popularity for nothing!!!

Tafadhali tiririka mkuu

BACK TANGANYIKA
X

Nimewahi kusoma Sheria za mikataba kama sehemu ya somo kwenye course yangu, kwa bahati mbaya au nzuri nimefundishwa kuwa MASLAHI YA MIKATABA HUWA NI SIRI YA PANDE zilizoingia ubia, ndiomana hadi leo hakuna anayejua Diamond alilipwa shiling ngapi voda au tomato, harikadhalika kwa msanii wa Kimataifa Alikiba, lakini unachotakiwa kujua kuwa ni mkataba nono.
 
Kiba anakua overrated ru,hakuna la maana hii ni sawa na tisha toto subiruni Kili awards ndio size yenu

Ukubwa wa msanii haupimwi tu kwa tuzo sababu mara nyingi tuzo huwa kuna figisu figisu nyingi, miongon mwa vitu vinavyopima ukubwa wa msanii ni endorsement anazopata na ukubwa wake,
 
Ni matunda baada ya kufanya kazi kwa bidii. Niliwahi kusema kwenye thread maalum ya Alikiba kuwa ile Koroga Festival itampeleka katika mafanikio makubwa.
Ilikuwa show kubwa sana na kwa bahati walioushika muziki Africa na kidunia walikuwepo na kuona kazi nzuri ya Alikiba jukwaani na wote walishangazwa na uwezo wake.
Ilikuwa moja ya matukio makubwa ya nchini Kenya nyuma ya ujio Barack Obama na Pope Francis nchini Kenya.
Hii iwe fundisho kwa wasanii wetu kujali sana wanapotumbuiza wakiwa jukwaani, kwani huwezi jua ni nani anayeshuhudia onesho lako kwa siku hiyo.
Hongera Alikiba, hongera Rockstar4000.

Ova

Kweli kabisa, hakika wewe unafatilia mziki kwa kina,
 
X

Nimewahi kusoma Sheria za mikataba kama sehemu ya somo kwenye course yangu, kwa bahati mbaya au nzuri nimefundishwa kuwa MASLAHI YA MIKATABA HUWA NI SIRI YA PANDE zilizoingia ubia, ndiomana hadi leo hakuna anayejua Diamond alilipwa shiling ngapi voda au tomato, harikadhalika kwa msanii wa Kimataifa Alikiba, lakini unachotakiwa kujua kuwa ni mkataba nono.

Mkuu kubishana si fan yangu bali kujifunza,

Imetokea sehemu nyingi tu hata huko Ulaya tunajua wazi Rooney analipwa kiasi gani pale Utd, Hali kadhalika tunajua ataondoka lini pale kulingana na ukomo wa mkataba wake.

Ninachojua mikataba inayokuwa ya kificho ni ya kifisadi au midogo isiyoendana na hadhi ya mtu au vitu vinavyopatana kwenye mkataba huo. Hii ndiomaana huwa na kificho ili kuficha maovu au kulinda hadhi ya waingia mkataba huo kwa maslahi ya wao wenyewe..!!!

Daimond tunajua kwenye wimbo wa Utanipenda alilipwa na Dr Mwaka Tsh 50Ml (kwaajili ya tangazo lake). Vilevile inajulikana hata kwenye mtaba wake na Voda alilipwa kiasi cha Tsh 600ml kama sikosei (I stand to be corrected) Sijafuatilia kwenye Tomato kujua alilipwa bei gani. Ila nadhani ukitaka kujua utajua tu labda aamue kukuficha kulingana na maelezo ya hapo juu.

Halafu nikuambie kitu mkuu,

Acha kushabikia vitu kiasi cha kutoweza kukosoa au kurekebisha popote, usiwe mtu wa kumeza tu, jaribu kufukunyua na kuchimba kile unachokipenda na kukithamini. Ni kwakufanya hivyo utakuwa unakilinda na kukiendeleza kwa wakati mmoja bila wewe mwenyewe kutambua.

Badilika mkuu.

BACK TANGANYIKA
 
Kweli kabisa, hakika wewe unafatilia mziki kwa kina,

Ukiwa shabiki wa muziki lazima ufuatilie muziki, sio kukaa tu kutafuta visababu vya kutompa pongezi msanii kwa zuri lake.
Ajabu tukienda Club tunacheza ngoma za wasanii kibao usiku kucha, ila tukija JF tunataka afanikiwe msanii mmoja tu, mwingine hata akipiga hatua ionekane haina maana.

Ova
 
Msanii wa Kimataifa "Alikiba" anayetamba na kibao cha #Aje aendelea ku-make headlines Africa na dunian kote hasa baada ya kupata dili nono, Baada ya Kuwa offical brand ambassodor wa kampni kubwa la uuzaji wa Vifaa vya muziki Africa "AGK" lenye makao yake makuu South Africa, leo hi tena kapata dili nono la kuwaAmbassador wa Shirika kubwa la"Oliver jam Food foundation" lenye makao makuu uingereza linalojihusisha na afya, ubora wa chakula kwa watoto duniani, shirika hili lina partnership na WHO.

Ikumbukwe pia bado dili 4 ambazo msanii Alikiba ataisaini week ijayo kama sehemu ya mafanikio yake, ambapo madili haya nono yanamuweka Alikiba katika nafasi ya juu kama brand ya kimataifa. Kwahiyo hakuna shaka kwa sasa Alikiba ni msanii anyeongoza kwa kupata dili nono kwa wasanii wa Africa Mashariki.
Hajenge nyumba sasa kukaa kwa mama na baba n kwa umri wke wa miaka 40 c vizuri
 
Hajenge nyumba sasa kukaa kwa mama na baba n kwa umri wke wa miaka 40 c vizuri

Ajenge nyumba ya ngapi mkuu, mwezi June tunazindua hotel ya ghorofa 3 tabata yenye jina la "Amiya Palace" jina la amiya ni la mtoto wa kwanza wa king hivyo ni heshima hotel yake kuita hilo jina,
 
Ajenge nyumba ya ngapi mkuu, mwezi June tunazindua hotel ya ghorofa 3 tabata yenye jina la "Amiya Palace" jina la amiya ni la mtoto wa kwanza wa king hivyo ni heshima hotel yake kuita hilo jina,
[emoji23] [emoji2] [emoji23] [emoji23] Coming soon tabata ipi
 
Balozi gani wa vifaa vya muziki hajui hata kutumia chombo chochote?
 
Kwahyo Mondy balozi wa tomato chpsi anajua kupika?


Hawezi kuwa balozi wa guitars kama hajawahi kuchezea nyuzi tangu azaliwe. Atakuwa anazingua bangi tu. Huyo Diamond unamjua wewe.
 
Msanii wa Kimataifa "Alikiba" anayetamba na kibao cha #Aje aendelea ku-make headlines Africa na dunian kote hasa baada ya kupata dili nono, Baada ya Kuwa offical brand ambassodor wa kampni kubwa la uuzaji wa Vifaa vya muziki Africa "AGK" lenye makao yake makuu South Africa, leo hi tena kapata dili nono la kuwaAmbassador wa Shirika kubwa la"Oliver jam Food foundation" lenye makao makuu uingereza linalojihusisha na afya, ubora wa chakula kwa watoto duniani, shirika hili lina partnership na WHO.

Ikumbukwe pia bado dili 4 ambazo msanii Alikiba ataisaini week ijayo kama sehemu ya mafanikio yake, ambapo madili haya nono yanamuweka Alikiba katika nafasi ya juu kama brand ya kimataifa. Kwahiyo hakuna shaka kwa sasa Alikiba ni msanii anyeongoza kwa kupata dili nono kwa wasanii wa Africa Mashariki.

Eti dili za matangazo!!...kwa hiyo sasa mtakua mnasikliza na kutazama matangazo ya kiba sio mziki tena??...matangazo si hata mzee majuto anafanya??..wapi nyimbo na video kali??..au ndio hizo yooooo!! Yoooo!..hopeless!!
 
Back
Top Bottom