Msanii wa kimataifa Kanye West aanzisha dini yake

Msanii wa kimataifa Kanye West aanzisha dini yake

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
yeezus.jpg
Attention! Dini mpya kabisa duniani inaitwa Yeezianity . Jina hili linafanana na album mpya ya kanye inayoitwa Yeezus ambayo ni combination ya nickname yake ya Ye na jina la Jesus. Tayari kuna website kwa ajili ya waumini inayoitwa Yeezanity.com . Wafuasi wa dini hiyo wanatumia sanamu linalofanana kabisa na uso wa Kanye West. Founder wa dini hii alisema ““Kanye West is the most honest person in our culture.He has the highest moral standards and highest integrity. He is the most creative person. And as it’s typical with creative people, he gets a lot of flack from the lower minded masses. It’s not even that they don’t like him, it’s that they don’t know what he’s doing because the press gives it this negative spin all the time”

Ukitaka kujiunga na dini hiini rahisi sana.Unachotakiwa kufanya ni kuwatumia email yenye picha isiyokutambulisha ukiwa umeshika karatasi lililoandikwa ‘I Believe In Yeezus’.
 
Nakukubar sana pacha kwa ma updates maana wengine wanasubir kuponda tu thread za watu,wanasahau kabisa kuwa unatupa vitu roho inapenda
 
yeezus.jpg
Attention! Dini mpya kabisa duniani inaitwa Yeezianity . Jina hili linafanana na album mpya ya kanye inayoitwa Yeezus ambayo ni combination ya nickname yake ya Ye na jina la Jesus. Tayari kuna website kwa ajili ya waumini inayoitwa Yeezanity.com . Wafuasi wa dini hiyo wanatumia sanamu linalofanana kabisa na uso wa Kanye West. Founder wa dini hii alisema ““Kanye West is the most honest person in our culture.He has the highest moral standards and highest integrity. He is the most creative person. And as it’s typical with creative people, he gets a lot of flack from the lower minded masses. It’s not even that they don’t like him, it’s that they don’t know what he’s doing because the press gives it this negative spin all the time”

Ukitaka kujiunga na dini hiini rahisi sana.Unachotakiwa kufanya ni kuwatumia email yenye picha isiyokutambulisha ukiwa umeshika karatasi lililoandikwa ‘I Believe In Yeezus’.

Oya tafadhali naomba kama waweka habari hapa uweke na chanzo chake...nimeona wakati mwingine waweka habari za kupotosha ama zilizopitwa na wakati...mi naona haichukui muda kuweka link, ama wasemaje?
 
Hii habari kidogo niirushe hapaa nikaona MONEYstunna yupo staki kumuingiliaa
 
Last edited by a moderator:
Oya tafadhali naomba kama waweka habari hapa uweke na chanzo chake...nimeona wakati mwingine waweka habari za kupotosha ama zilizopitwa na wakati...mi naona haichukui muda kuweka link, ama wasemaje?

Ivi link kutoka kwenye blog flani kuja humu jukwaan unafanyaje??
 
Oya tafadhali naomba kama waweka habari hapa uweke na chanzo chake...nimeona wakati mwingine waweka habari za kupotosha ama zilizopitwa na wakati...mi naona haichukui muda kuweka link, ama wasemaje?

Wewe ukiweka habari unatuonyesha chanzo kutoka kwenye blog yako je iko ndio chanzo?

Wewe google utapata habari zaidi
 
Kwahiyo kama nataka kujiunga nimwamini Kanye na Yesu?kuliko kumwamini na kumwabudu Kanye heri niwe mpagani wa dini za babu zetu tu.
 
utasubiri sana,wana filosofia weng na wanasayansi walipata kusema hvo na wengne wakaweka miaka flan,wakangoja sana,wakafa wakaacha hayo mambo yanapata umaaruf kuliko kawaida.

Wadadisi wanasema saiv zimebaki islamic na katolic nyingine zote ni maduka ya huduma tu!

Wacha tuendelee kusubir pengine dini hizi zitafika ukomo tu.
 
Wewe ukiweka habari unatuonyesha chanzo kutoka kwenye blog yako je iko ndio chanzo?

Wewe google utapata habari zaidi

ile stori ya kim na kanye kukosana kuhusu jina lake ni stori ya zamani na hio bikini pic ni ya zamani...sijui kama ulikuwa wafahamu haya ama ni kupuuza tu...halafu hio stori ya dini ya kanye hata sijaisikia manake mi kila siku hua nafuatilia mambo yao na siwezi kujichanganya na habari mpya na za zaman na habari ambazo hazitokani kutoka kwa wawili hawa
 
Nasikia daimondo nae yupo mbioni kuanzisha yake,anaombwa kuungwa mkono.
 
Back
Top Bottom