Msanii wa kiume bongo movie apokonywa gari

Hahahaaa...kama kuna mtu alimkoleza huko kisa ana gari ndo imekula kwakeee...

Manake siku hizi mjini ukiwa na gari unakula mizigo ya kila rangi....chezea kitu discovery...
 
Hhhhaaaaa ndoa za kiislam wachache sana huvaa nguo nzuri na za gharamaa

AHahaha ahahaa kantangazeeee, mmh ya kweli hayo binamu? Mbona bi lucy alivaa gauni la bei rahis na skuna za miaka 47
 
AHahaha ahahaa kantangazeeee, mmh ya kweli hayo binamu? Mbona bi lucy alivaa gauni la bei rahis na skuna za miaka 47

Afadhali hata shela ya Lucy inaweza kua lakimoja + viatu+ galaxy yake sh.ngapiii,lakin huyo hapo anaweza kua kavaa 50000 tu labda waarabu ndio huvaa nguo za gharama na kununuliwa dhahabu
 
Afadhali hata shela ya Lucy inaweza kua lakimoja + viatu+ galaxy yake sh.ngapiii,lakin huyo hapo anaweza kua kavaa 50000 tu labda waarabu ndio huvaa nguo za gharama na kununuliwa dhahabu

Ndoa za kiislam unaweza kuamka leo na kufunga ndoa, hawana gharama aiseeh, na mimi nikitaka kuoa nitajifanya muislamu aiseeh, mambo ya kununua shera na skuna mara galaxy sijui, maana naona bi lucy katujia na style mpya ya maarus kubeba galaxy, aya mie kantupeni nafanyeje?
 

Hhhhaa tupia bas na huku tangazo ncheke mieee
 
Me nisivyopenda kunyanyasika, ningelirudisha fastaaa. Kwani siwezi nikahustle nikapata la kwangu bana? But haya mambo ya kudaiana zawadi tena mbona ni shida?
 

Eeeehhh yashakuwa haya???? Nliona ndoa yao tbc jaman hawa wa2 mwe!!!
 
Last edited by a moderator:
Ahahahaa eti kwani lililetwa na break down, si ndo apo, ata kama lililetwa na boko haramu cha mtu mavi slim, rudisha mali za watu, utaolewa oooh

Afu aibu kweli...kama mazoezini alikua anaenda nalo afu kesho akaangukia pua, lazima wenzie wamzomee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…