Msanii wa kizazi kipya asemekana kufanyiwa kitu mbaya

Hahaahaaa daaah watu mnamaneno!
 

Ha ha ha ha aah hapo penye "wamempakua canned kisamvu na watachukua kinyesi kupimwa DNA umetisha"au mmetumwa nn mje kumchafua?et nyie ni washikaji zake amini nn?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Picha pliz....ikiwezekana video....!!kwa sababu ninavyowajua mimi hiyo minyengema lazima itakuwa imepiga picha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nasikia ni kama siku nne au tano zilizopita

Duh kama ni siku nne au tano zilizopita basi hicho canned kisamvu si kitakuwa kishachacha? Mimi nilidhani kiko fresh! Sasa sijui kama bado kinafaa kwa kuchukua DNA test ngoja nipate consultation kutoka kwa wataalamu wangu kwanza then tutajuwa tufanye nini kujuwa who was the victim of brutal group sodomization
 
Kifilo apate yeye, kimuhe muhe na vihele hele mpate nyie, kweli majangaaa, majangaaa!

Mods, piga ban haya Maccm maana yamechanganyikiwa na kipigo cha Arusha na sasa yamebaki kutukana tu kila uzi. Halafu hili jamaa linajifanya limefunga!
 
pole sana nadhani autarudia tena.

Tena utakuta mtu kama huyo analazimishwa kwenda kuchukua R.B ukimuuliza kwa nini hataki atakwambia wala sijaumia na watu wenyewe si walikuwa kama 12 tu? Waachieni tu ila walichoniudhi na kunifanya niwachukulie R.B ni kuniacha pale chumbani bila hata kuniambia au kuacha hata message tukutane tena lini ili wanifanyie kama vile manake nilienjoy sana
 
Kisa cha kumfanya hivyo mtoto wa wenzenu nini jamani tujuzane
 

Hahaahaaa khaaaa ebwanaeeeee! Hii tz ina mambo duuuuh haaahaaahaaa
 
mkulu wetu nae ni msanii wa kizazi kipya, mm nikajua ni yeye ndo kakumbwa na dhahama hiyo
 
[h=2]Sunday, July 21, 2013[/h] [h=3]MSANII LINAH SANGA ABAKWA NA MSANII KIMBUNGA[/h] Posted by Abby Hass on 8:59 PM

Kwa habari zilizotufikia kwenye uwanja wetu wa mawasiliano zinasema kwamba Rapper wa Bongo anaejulikana kwa jina la Kimbunga amembaka msanii wa THT Linah Sanga. Taarifa zinasema kuwa mpaka sasa Kimbunga ameshikiliwa na jeshi la polisi na yupo kwenye kituo cha usalama / polisi cha Oysterbey.

POST YA KALAPINA FACEBOOK
 
Hahaahaaa khaaaa ebwanaeeeee! Hii tz ina mambo duuuuh haaahaaahaaa

Kweli mkuu tena utakuta hasemi kufanyiwa huko ni nini atang'ang'ania tu si kama vile walivyonifanyia siku ile pale chumbani pakachafuka! Dunia ina mambo hii ishi uone kaka! Ila tu kwa kumshauri muhusika yaani Linah akitaka kuwapata wahusika kwa ulainiii aende akafoji cheti cha HIV halafu majibu ajaze + then aweke scanned copy mtandaoni utasikia wahusika wanaokotwa mitaani kama mbu waliopuliziwa dawa ya Rungu! Coz muhusika akisoma na kuona hicho cheti mtandaoni utasikia tu mtu puuuu! Kaanguka mara utasikia huyu kaokotwa kwenye daladala mara huyu kakutwa chooni kaanguka, basi watawajuwa kwa urahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…