Wamekubali kuwa masikini wenye vipaji, tatizo tamaduni music mafani wao wanafiki, wanakazi ya kuwaambia mara hoo wakali, wanaimba hip hop halisi lkn kuwasapoti kununua kazi zao na hata kwenda kwenye matamasha yao hawaendi, wana kazi ya kudownload free net basi. Ila si shangai ukitaka msanii upige ela imba mziki utakao pendwa na wanawake na watoto wadogo lazima uwashike. Ila kubum kubaa hizi utasubiri sana, sasa hivi wanapitwa hata na wale wa singeli akina man fongo na msaga sumu, mpaka wanakuwa na session yao, alafu dizaini singeli huku uswazi imetushika kishenzi.