Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,450
- 600
Kwa mujibu wa taarifa iliyoifikia DarTalk, mapema mchana wa leo zinasema kuwa mke wa Pingu alikuwa na hali mbaya wakati wa kujifungua kutokana na kutokwa damu nyingi, ndio tatizo kubwa ilimpelekea kupoteza uhai wake pamoja na wa mtoto aliyekuwa tumboni.
Hata hivyo rafiki wa karibu na Pingu msanii Z-anto, alisema bado wanaendeea na vikao ili kujua watasafilisha au watazikia hapa hapa Dar, lakini hata hivyo nyumbani kwa Pingu Mabibo kuna watu wengi ambao wamejitokeza kumfariji mfiwa.