Msanii wa Rap Mteganda Hussein hajulikani alipo toka Disemba 25, 2024

Msanii wa Rap Mteganda Hussein hajulikani alipo toka Disemba 25, 2024

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
IMG-20241230-WA0001.jpg


TAARIFA KWA UMMA

Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu "MTEGANDA",

pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku.
MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya kushiriki onesho la muziki lililo kuwa likifanyikia TUKUYU MJINI.

Taarifa za awali zinasema aliibiwa/porwa vifaa vyake zikiwapo fedha na simu eneo la Uyole na alifika kutoa taarifa kituo cha Polisi na kuomba msaada wa kusafirishwa Dar es Salaam toka kwa maofisa wa jeshi la Polisi, jambo ambalo halikufanikiwa. Taarifa hiyo imetolewa na baadhi ya marafiki waliofika kituo kidogo cha Polisi kilichopo UYOLE ambapo walipewa maelezo hayo na maofisa wa Polisi waliowakuta kituoni wakati MTEGANDA akiwa amekwishaondoka kituoni hapo.

Hata hivyo, jitihada za kuendelea kumtafuta kupitia simu yake(ambayo bado inaita bila kupokelewa), na kuuliza katika ngazi ha familia yake kama alifanikiwa kurejea Dar zimefanyika bila mafanikio.

IIKIWA UTAMUONA MAHALA TAFADHALI, WASILIANA KWA NAMBARI ZIFUATAZO:

1.0767939845 (ALFA MSHANI)
2.🚨

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
 
View attachment 3188628🚨 TAARIFA KWA UMMA 🚨

Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu "MTEGANDA",

pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku.
MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya kushiriki onesho la muziki lililo kuwa likifanyikia TUKUYU MJINI.


Taarifa za awali zinasema aliibiwa/porwa vifaa vyake zikiwapo fedha na simu eneo la Uyole na alifika kutoa taarifa kituo cha Polisi na kuomba msaada wa kusafirishwa Dar es Salaam toka kwa maofisa wa jeshi la Polisi, jambo ambalo halikufanikiwa. Taarifa hiyo imetolewa na baadhi ya marafiki waliofika kituo kidogo cha Polisi kilichopo UYOLE ambapo walipewa maelezo hayo na maofisa wa Polisi waliowakuta kituoni wakati MTEGANDA akiwa amekwishaondoka kituoni hapo.

Hata hivyo, jitihada za kuendelea kumtafuta kupitia simu yake(ambayo bado inaita bila kupokelewa), na kuuliza katika ngazi ha familia yake kama alifanikiwa kurejea Dar zimefanyika bila mafanikio.

IIKIWA UTAMUONA MAHALA TAFADHALI, WASILIANA KWA NAMBARI ZIFUATAZO:

1.0767939845 (ALFA MSHANI)
2.🚨

Ukwaju wa kitambo

0767 542 202
Mmh! Hii hatari sana
 
🚨 TAARIFA KWA UMMA 🚨

Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu “MTEGANDA”, pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku.
MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya kushiriki onyesho la muziki lililo kuwa likifanyikia TUKUYU MJINI.
Taarifa za awali zinasema aliibiwa/porwa vifaa vyake zikiwapo fedha na simu eneo la Uyole na alifika kutoa taarifa kituo cha Polisi na kuomba msaada wa kusafirishwa kurudi Dar es Salaam toka kwa maofisa wa jeshi la Polisi, jambo ambalo halikufanikiwa.Taarifa hiyo imetolewa na baadhi ya marafiki waliofika kituo kidogo cha Polisi kilichopo UYOLE ambapo walipewa maelezo hayo na maofisa wa Polisi waliowakuta kituoni wakati MTEGANDA akiwa amekwisha ondoka kituoni hapo.
Hata hivyo, jitihada za kuendelea kumtafuta kupitia simu yake(ambayo bado ilikuwa inaita bila kupokelewa) pamoja na kuuliza katika ngazi ya familia yake kama alifanikiwa kurejea Dar zimefanyika bila mafanikio.
IIKIWA UTAMUONA MAHALA TAFADHALI, WASILIANA KWA NAMBARI ZIFUATAZO;

1.0767939845
2.0621240854

TUTASHURU KWA USHIRIKIANO WAKO.
AHSANTE…
 
Sijapata kumsikia.
Kama mfuatiliaji wa Hiphop Mteganda is a legend by himself. Huyu ni era ya 2005 - to current.. Nash Mc, P Mawenge, KingZilla(RIP), One, Niki Mbishi na wengineo wengi wameShare kinasa na jukwaa na Mteganda toka enzi za WAPI mpaka Kilingeni pale Msasani.
 
Kesi ya huyo muheshimiwa ni mmapema mno kwa mimi kutoa maoni yangu. Kumbuka Yona alirudi baada ya siku kadhaa akatoa ushuhuda alimezwa na samaki na wife akakubali, sasa hujui mwamba labda kamezwa na ng'ombe. Na kama wife akikataa story basi hana imani na Yesu kristo
 
Back
Top Bottom