Uchaguzi 2020 Msanii wa vichekesho Jacob W. Mkweche 'Ringo', achukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Songea Vijijini

Uchaguzi 2020 Msanii wa vichekesho Jacob W. Mkweche 'Ringo', achukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Songea Vijijini

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Yule Msanii maarufu wa vichekesho kwa jina Ringo achukua form kugombea Ubunge Jimbo la Songea Vijijini kwa ticket ya CCM.

=====

1594997622317.png

1594997529187.png

1594997454310.png

Sina cha kusema Mimi JACOB WILLIAM MKWECHE kwa heshima na imani kubwa mliyokuwa nayo kwangu nimefurahi sana kuona mnaniamini kiasi kwamba hadi nahisi kutokwa na machozi . Niwaahidi tuko pamoja hadi tutakapoingia mjengoni
 
Back
Top Bottom