Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Msanii wa kizazi kipya na mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo , rasmi ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika Jimbo la Ukonga Dar es Salaam kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2020.
Wakazi ambaye alijiunga na chama hicho hivi karibuni, ameeleza nia hiyo jana Juni 20, 2020 kwenye mkutano wa chama hicho uliofanyika katika hoteli ya Lamada DSM.
Wakazi ambaye alijiunga na chama hicho hivi karibuni, ameeleza nia hiyo jana Juni 20, 2020 kwenye mkutano wa chama hicho uliofanyika katika hoteli ya Lamada DSM.