torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
Heri ya Chrismas na Mwaka Mpya!
Nianze kwa kusema mimi siyo shabiki wa Bongo flavour napendelea sana Hip Hop na Jazz lakini hapa acha nitoe hii tathimini yangu kwenye Bongo Flavour kwa mwaka 2021 ambao tumeacha siku chache kuumaliza.
Kwenye muziki wetu huo naona jamaa Marioo amefanya vema sana mwaka wote wa 2021 sana, almost ngoma zake zote alizotoa ndani ya mwaka 2021 ni kali na zimekuwa hit songs.
Nikiambiwa nimtaje msanii wa Bongo Flavour aliyefanya vizuri kwa mwaka 2021 basi ningesema Marioo.
Kwa upande wenu JF vipi? Mbali na huyo nilie mtaja, nani unaona amefanya vizurii zaidi mwaka 2021 kwenye Bongo Flavour?
Mtu ambaye amezingua kwa mwaka huu naona ni Rayvanny.. sisemi kama hajui, ila ajawa amshaamsha kwa mwaka huu.
Nianze kwa kusema mimi siyo shabiki wa Bongo flavour napendelea sana Hip Hop na Jazz lakini hapa acha nitoe hii tathimini yangu kwenye Bongo Flavour kwa mwaka 2021 ambao tumeacha siku chache kuumaliza.
Kwenye muziki wetu huo naona jamaa Marioo amefanya vema sana mwaka wote wa 2021 sana, almost ngoma zake zote alizotoa ndani ya mwaka 2021 ni kali na zimekuwa hit songs.
Nikiambiwa nimtaje msanii wa Bongo Flavour aliyefanya vizuri kwa mwaka 2021 basi ningesema Marioo.
Kwa upande wenu JF vipi? Mbali na huyo nilie mtaja, nani unaona amefanya vizurii zaidi mwaka 2021 kwenye Bongo Flavour?
Mtu ambaye amezingua kwa mwaka huu naona ni Rayvanny.. sisemi kama hajui, ila ajawa amshaamsha kwa mwaka huu.