Msanii wako bora wa mwaka 2021 kwenye Bongo Flavour

Wasanii wa Usafini WOTE nahisi huu mwaka wamepiga sana Hela pia brand yao imepiga hatua

Pia KoNDE Ametuma salama kwa watanzania kwamba yupo sana na ni msanii tishio hasa kwenye suala la ushindani wa kimziki namuona mbali sana dogo

●BRAND BORA NI WCB MWAKA HUU
●HARMONIZE AMESIKIKA SANA REDIO KWA VIBAO VYAKE VIKALI HASA MWISHO MWA MWAKA

Nawasilisha
 
Namjua fresh hupo P the Mcee..

But ndo hivyo,hawezi kumake top 30.

Kumbe hadi fanya wewe umeusikiliza??..nyimbo za wagumu hizi mtoto mzuri.
Aisee huwa nasikiliza sana tu, i love hip hop songs kiasì chake.
 
Ali Kiba, WcB tafadhali msinipopoe sina utimu, naona wengi wenu mmeside kwa Marioo mwaka huu 😂

Hii naifananisha na vita ya Ballon d'or 2021 vile mashabiki wa Ronaldo walivyokuwa na muhaho, mara wawe team Lewandowski mara Jorginho mwisho wa siku mshindi ni Messi
 
Super MARIOOOOOOOOOOO.
1.Bia Tam
2.For You
3.Jana kaachia bonge la dude Amor X Jovial.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…