Msanii Wastara kwa kweli anahitaji msaada sana

Msanii Wastara kwa kweli anahitaji msaada sana

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,520
Reaction score
1,462
Habari wanajamvi.....

Hili post/thread halihusiani na siasa........

Jana nilimwona wastara wakati anahojiwa na Vijana wa shilawadu (Kwisa na Soudy Brown) kiukweli huyu dada n mgonjwa na anahitaji Msaada ili akatibiwe....

Huyu dada anahitaji Mil 19 ili awze kupata matibabu nje ya nchi,huyu dada asaidiwe kwa namna yeyote ile,anapata maumivu makubwa sana kiukweli anahitaji msaada........


Lakini nilikuwa najiuliza hivi wasanii mil 19 imewashinda???? kweli ???

Wameshindwa kumchangia mwenzao apate matibabu??

Hivi wasanii si ndo kioo cha jamii,hiv sisi wananchi wa kawaida tunajifunza nn kutoka kwao???

Kweli hujafa hujaumbika

Huyu dada anapata maumivu makali asaidiwe.....


Hivi huyu si aliolewa na Mbunge,hiv yule Ameshindwa hata kutoa mil 10????

Kweli????

Its very painfull
 
Habari wanajamvi.....

Hili post/thread halihusiani na siasa........

Jana nilimwona wastara wakati anahojiwa na Vijana wa shilawadu (Kwisa na Soudy Brown) kiukweli huyu dada n mgonjwa na anahitaji Msaada ili akatibiwe....

Huyu dada anahitaji Mil 19 ili awze kupata matibabu nje ya nchi,huyu dada asaidiwe kwa namna yeyote ile,anapata maumivu makubwa sana kiukweli anahitaji msaada........


Lakini nilikuwa najiuliza hivi wasanii mil 19 imewashinda???? kweli ???

Wameshindwa kumchangia mwenzao apate matibabu??

Hivi wasanii si ndo kioo cha jamii,hiv sisi wananchi wa kawaida tunajifunza nn kutoka kwao???

Kweli hujafa hujaumbika

Huyu dada anapata maumivu makali asaidiwe.....


Hivi huyu si aliolewa na Mbunge,hiv yule Ameshindwa hata kutoa mil 10????

Kweli????

Its very painfull
Mwenzake alipewa mil 9 kwenye harusi kwa ajili ya kununulia noah ya kusambazia chilli sauce..sasa vp wanashindwa kumsaidia huyu mgonjwa
 
jana nilikuwa nasafisha macho huko youtube nikakutana na videoya harusi ya msanii wa bongo na wasanii wengi walionyesha jeuri ya pesa sasa inatakiwa wasiishie tu kwenye sherehe wajitahidi pia kusaidiana kwenye matatizo itakuwa ni kichekesho leo msanii anaumwa wenzake wanajifanya hawaoni lakini akisha dondoka ndio watajifanya kuchangia michango mikubwa
 
jana nilikuwa nasafisha macho huko youtube nikakutana na videoya harusi ya msanii wa bongo na wasanii wengi walionyesha jeuri ya pesa sasa inatakiwa wasiishie tu kwenye sherehe wajitahidi pia kusaidiana kwenye matatizo itakuwa ni kichekesho leo msanii anaumwa wenzake wanajifanya hawaoni lakini akisha dondoka ndio watajifanya kuchangia michango mikubwa
Misanii ya kibongo mipumbavu sana, kwenye masherehe ya Birthday, Harusi n.k utaiona inajifanya ina uwezo mkubwa mno kwa kufuru ya pesa, lakini yanapokuja mambo serious issue kama matatizo ya Wastara huwezi kuyaona yakisema kitu yameathiriwa na siasa za ccm.......hovyo kabisa haya majitu
 
HAPO WANASUBIRI AFE WAKAPGE SELFIE NA KUJFANYA WANALIA SANA. ANGEKUWA NDUGU YANGU SKU YA MSIBA NAWATIMUA WASANII WOTE. WASANII WA TZ HAWAJIELEWI HATA KIDOGO, WANASHNDWAJE KUCHANGA M.19? MASKINI WASTARA, MUNGU AKUPONYE.
 
Misanii ya kibongo mipumbavu sana, kwenye masherehe ya Birthday, Harusi n.k utaiona inajifanya ina uwezo mkubwa mno kwa kufuru ya pesa, lakini yanapokuja mambo serious issue kama matatizo ya Wastara huwezi kuyaona yakisema kitu yameathiriwa na siasa za ccm.......hovyo kabisa haya majitu
Leo Asha Baraka meneja wa bendi ya Twanga pepeta anasema wasanii wote waende kwenye kampeni za Mtulia wa kinondoni. Ampigie simu amwambie na amkumbushe kampeni za 2015 kwamba alikata kiuno mpaka mguu ukashituka
 
Leo Asha Baraka meneja wa bendi ya Twanga pepeta anasema wasanii wote waende kwenye kampeni za Mtulia wa kinondoni. Ampigie simu amwambie na amkumbushe kampeni za 2015 kwamba alikata kiuno mpaka mguu ukashituka
Haya majitu hovyo sana ndg yangu hadi aibu
 
Leo Asha Baraka meneja wa bendi ya Twanga pepeta anasema wasanii wote waende kwenye kampeni za Mtulia wa kinondoni. Ampigie simu amwambie na amkumbushe kampeni za 2015 kwamba alikata kiuno mpaka mguu ukashituka
Walikuwa wanasema wataisoma namba. Wanashindwaje? Kumsaidia msanii na mwanachama kindakindaki wa CCM. APA mchuma janga ula na nduguye, kipindi kile wameshaandaaa maji ya washawasha na virungu vya kuwapasua vijana.
What goes around comes around
 
Back
Top Bottom