Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Pamoja na changamoto zote ambazo mchizi anapitia, lakini akiwa kwa stage, jamaaa ana vibe flani la kukufanya usijutie kiingilio chako. Utampenda!!
Mchizi anakosa attention tu ya kufanya ngoma kali, ila jamaa yuko vizuri sanaa!!
Msanii mwingne wa Hip Hop mwenye uwezo km wa Chid ni Stamina Supermario aka Shorobwenzi aka Mr. Boniventure.
Huwa najiuliza ni kwanini wasanii wengine wanatuchukulia mashabiki poa, Mfano Fid Q. Mchizi anapenda sana kuongea ongea akiwa stage. Mchizi anaboa ila hajishtukiiagi tu.
Mwingine mzinguaji ni Nikki Mbishi, huyu jamaa anauwezo mkubwa wa ku-freestyle, ila akiwa stage ni uozo mtupu. Sjawai kumshuhudia akifanya hivyo kwny majukwaa makubwa Mf Fiesta.
Weusi
Hawa jamaa nao ni hakunaga tu. Show nyingi wanafanya kama kundi. Uwezo wa mtu mmoja mmoja ni zero.
Mchizi anakosa attention tu ya kufanya ngoma kali, ila jamaa yuko vizuri sanaa!!
Msanii mwingne wa Hip Hop mwenye uwezo km wa Chid ni Stamina Supermario aka Shorobwenzi aka Mr. Boniventure.
Huwa najiuliza ni kwanini wasanii wengine wanatuchukulia mashabiki poa, Mfano Fid Q. Mchizi anapenda sana kuongea ongea akiwa stage. Mchizi anaboa ila hajishtukiiagi tu.
Mwingine mzinguaji ni Nikki Mbishi, huyu jamaa anauwezo mkubwa wa ku-freestyle, ila akiwa stage ni uozo mtupu. Sjawai kumshuhudia akifanya hivyo kwny majukwaa makubwa Mf Fiesta.
Weusi
Hawa jamaa nao ni hakunaga tu. Show nyingi wanafanya kama kundi. Uwezo wa mtu mmoja mmoja ni zero.