Msanii Ziggy Dee wa eno mic alipotelea wapi?

Kama alivyoimba mic inaweza kukunyanyua au kukubwaga
 
Karudi kwao, tena majuzi katoa nyimbo mpya ameshirikishwa au kamshirikisha mtu.
 
Bado yuko vizuri labda ni nyota tu maaana nilipata nyimbo moja akimsifu mungu ni noma sana. Maana nasikia sikuizi ni bloga sijajua io kazi ina mlipa sana kuliko muziki ama la
 
yuko kampala ghaba pale anakistudio chake uchwara now hana mpya.
 
Nimeangalia hiyo video nimecheka aisee.

Tulikuwa tunaziona nzuri [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Eno mic imepoteza wengi,wadada wamepata vina vikali usipime sababu ya eno mic,wababa wametelekeza familia kwa ajili ya kutembeza eno mic,tulizana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duh! mleta mada una hatari wewe...
Yaani mtu kazaliwa 1998 halafu 2002 akatoa wimbo!!
Na wakati huohuo kashamaliza chuo!!!
Itakuwa alianza shule akiwa tumboni huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…