Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,212
Nataka msaada wa mawazo toka kwenu wana jamvi, nina option mbili, either nisome Msc. Accounting and Finance au MBA-Finance, naomba tuzichambue ili niweze fanya good decision, kupata msaada kwa watu waliokuzidi elimu ni muhimu sana then you will make decision kutokana na mawazo tofauti ya watu... JF daima.
Nataka msaada wa mawazo toka kwenu wana jamvi, nina option mbili, either nisome Msc. Accounting and Finance au MBA-Finance, naomba tuzichambue ili niweze fanya good decision, kupata msaada kwa watu waliokuzidi elimu ni muhimu sana then you will make decision kutokana na mawazo tofauti ya watu... JF daima.
Wakuu mimi nataka nisome MBA Finance and Economics sijui kwa bongo chuo gani kinatoa hii kozi maana sijawahi kuulizia.
I guess SAUT MWANZA campus, ebu cheki nao kwenye website yao.