Msekwa Atoboa siri ya Butiama






Nashindwa kuona kuchoka katika kauli hii! Naiona kama kauli ifaayo kwa utawala bora!
Ama kweli ile asilimia 70 aliyosema Kiwete haiko tunakofikiria tu bali hata miongoni mwa wanaojifanya wako katika asilimia 30 ya upande wa pili.
 
It is a shame kuona watu ambao walikuwa wakiheshimika huko nyuma kwa Mwalimu kuwapa nyadhifa za juu za uongozi wa nchi yetu wamebadilika na kuwa waongo na walaghai! Kumbe walikuwa ni chui waliovaa ngozi ya kondoo mbele ya Mwalimu!

Mzee Msekwa, at the back of his mind and at the bottom of his heart anaelewa wazi kwamba kinachodaiwa na wananchi si HADITHI kama anavyodai ila ni ukweli ambao wao waliutenda na kwa kipindi chote tangu mambo yawekwe hadharani wamekuwa aidha wanakana ama wanatafuta kila njia ya kuyafunika na kutaka wananchi wasahau. Wananchi hawawezi kusahau kwa sababu moja kubwa - viongozi wao wamewasaliti na wanaendelea kuwasaliti kwa kauli kama za akina Msekwa! Shame on Mzee huyu na wengine wenye kufanya afanyavyo yeye!
 

Shame on you guys who can not tolerate opinions of others. What is wrong with Msekwa's statement. Those MPs who have failed to deliver to their constituencies aremaking noises that mafisadi are poring money. They have to prove and let these fisadis be arrested. HATUWEZI KUWA TAKEN FOR GRANTED NA WATU WALIOSHINDWA KUHUDUMIA MAJIMBO YAO.
 

It is not a matter of tolerating others' opinions. Kauli ya Msekwa ni ya kujihami, kuwakingia kifua mafisadi na kuwafanya wananchi wanaolalamika ni wajinga. No way! Watu hawawezi tu kukurupuka na kudai kwamba kuna watu wanamwaga fedha za kifisadi wakati si kweli. Lisemwalo lipo. Msekwa kwa wadhifa wake wa Makamu Mwenyekiti wa CCM or whatever post he has angelichukua fursa ya kufanya uchunguzi kubaini wanaomwaga hizo fedha badala ya kukimbilia kukanusha kwa madhumuni tu ya kuficha uozo wa CCM. Mwalimu huko aliko anageuka mara kadha wa kadha kwa usaliti wa watu kama Msekwa!
 

Katika hili sijasikia mwananchi wa wakawaida analalamika ETI kuna watu wanamwaga PESA CHAFU.... wanaolalamika ni hao wabunge,,,Na hii inaweza kweli ikaleta picha kwamba wana wasi wasi wa kupokwa ulaji wao.
kama wewe kweli mpambanaji wa RUSHWA kwanini basi usiwataje hao wanaosambaza PESA CHAFU? just name them,,tuwajue

Its okay huwezi kuchukua hatua,, basi hata kuwataja,,,
 


- Really?


FMEs!
 
Code:
Code:

Tuna safari ndefu sana ya kuelekea kwenye ukombozi wa kweli kwa watanzania.....BIGILANKANA unaishi ezi za UJIMA!
 

Are you telling us that wewe hujui/hukubali kwamba kuna watu wanaotumia pesa kuwalaghai wananchi? After naming them na kuwajua then what next? Hata kama wabunge walalamikaji wana wasiwasi wa kupokwa nafasi zao alternative ni kukaa kimya na kutosema juu ya pesa chafu zinazosambazwa? Wabunge nao ni part ya wananchi wanaolalamika, regardless.

No wonder Katibu Mkuu wa CCM kawaita 'wehu' watu wazima wenye akili timamu wanaojua jinsi taifa linavyokwenda kubovu kutokana na tabia ya kutetea maovu yaliyo dhahiri kwa visingizio visivyo na mshiko.
 

naunga mkono hoja yake. ni 100% perfect

tumeshajiwekea utaratibu kuwa mtu azungumze baada ya kuwa na uhakika wa jambo (mf. awe na data za kutosha) afanye ka utafiti kidogo.

haya mambo ya ufisadi yanakuwa magumu kwa sababu hakuna ushahidi wa kutosha. huoni kuwa watu wakukusanya ushahidi wa kutosha itasaidia kuwa sue hawa mafisadi?????????? au unaelewaje?????? utamhukumu mtu vipi bila ushahidi??? Jamani tusikosoe kila kitu
 
Msekwa hajachoka !!!!!!


Tuna baadhi ya watu ambao wanajiita wanasiasa lakini hawana sifa yoyote ya kuitwa wanasiasa !
Siasa zetu zimevamiwa na watu wa majungu na waropokaji wengi sana.
Sioni busara kwa wabunge kupiga kelele za ufisadi ,fedha chafu bila kwenda mbali na kutuambia ni kiasi gani,nani amezipeleka,transaction zake zinafanywa kupitia benki ipi.
Sasa utamlaumu Msekwa kwa lipi hapo,tujifunze kufikiri kabla ya kuzungumza!
Tunataka vitu concrete vya kufanyia kazi sio majungu na kuropoka ropoka tu!
Wabunge wanapaswa wajue kuwa wananchi si wajinga kama umefanya mambo mazuri watayaona kama hakuna msipige mayowe ! Kwani mlizaliwa kuwa WABUNGE !

KILA LA KHERI MZEE MSEKWA, KILA LA KHERI CCM ,TUSIYUMBISHWE NA WATU WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO.
 
kachoka sana tu...........
 
Msekwa alikwishachoka siku nyingiiiiiiiii!. Sawa hata kingunge, waliochoka lukuki!
 
Ukijenga mtizamo hasi mbele ya mtu ama kundi la watu, daima hautajuwa jema wala baya. Na kwa mfumo huo analoliongea mtu ama linalotolewa na watu, halitapata tafasili sitahili mbele yako. Naamini umependa tu kuwa kinyume na huyu mzee na pengine umeamua tu kusema hivi kwa ajili ya kuwafurahisha wenzako "wenye wazo mbadala" wasiochagua mazingira ya kuwa kinyume na linaloongelewa. Mzee Msekwa busara zako zinahitajika sana na msimamo wako ni darasa kwetu vijana, Mungu akuzidishie.
 
kwa dunia ya sasa watu wanaweza kuleta madai hewa kwa ajili ya kujilinda katika harakati zao za kisiasa,na wengi wanasema uongo,nadhani si vyema tuwe tunakubali kilakitu wanachosema wanasiasa kwa kuamini kwamba lisemwalo lipo.kama wana uhakika wawataje na si kurusha maneno tu,aliyosema mzee si mabaya na wala hayaonyeshi dalili ya kuchoka.tatizo ni msekwa na kama yangetoka kinywani kwa mwingine miongoni mwa wale unaowakubali labda yangekuwa mazuri
 

Kweli hii ni Dunia ya Wajinga baado tu mijitu inaamini Wanasiasa.Mijitu kama hii ndo ya kupigwa mawe.Hapa Kyela tumeambiwa zimemwagwa million 400.Tuambieni zimepitia benki gani?
 
is Msekwa right on this issue?:

 
we Msekwa acha kulalama lipa deni lako la 7m kule mambo ya ndanio ndio uanze kuonge ongea hapa
 
Msekwa reveals what transpired in Dodoma

By Rodgers Luhwago

24th January 2010



Vice Chairman of CCM, Pius Msekwa



Pius Msekwa , the ruling party's Vice Chairman, has finally revealed what really transpired during the last year's August meeting in which Speaker of the National Assembly came under strong criticism from some NEC members.

Msekwa's revelation comes as the country awaits the final report to be tabled by the Ali Hassani Mwinyi led committee, formed to probe the genesis of conflict between the ruling party's legislators, and their government.

It is reported that during that meeting the National Assembly Speaker Samuel Sitta was criticised for breaching certain principles of his party as the body was also accused of "silencing" other members. Another NEC meeting is expected to be held soon.

Msekwa's account appearing in CCM website says: "…This article is to give a correct and factual account of the proceedings of that particular meeting, in order to dispel certain fears arising from some misrepresentations of fact and allegations of improper motives on the part of CCM, such as the allegation that ‘it had moved to silence its MPs.'"

"In view of these confusing reports, I believe it is important to explain what exactly happened in that NEC meeting," Msekwa says, adding that it discussed ‘The current state of politics in the country, "covering a wide range of politically sensitive issues."

According to Msekwa "unacceptable utterances and conduct" of some CCM leaders, particularly members of Parliament – including Samuel Sitta - and Zanzibar's House of Representatives were among some of those "sensitive issues."

NEC's major concern, he says, was the appearance of "confrontational groups" among the ruling party's members of Parliament based on the question of graft (Ufisadi) and injudicious utterances and conduct of some members of those organs of state. He says it was necessary for NEC to discuss the negative developments so as to take appropriate action to find a viable solution while blaming the media for not reflecting fundamental issues, rather it "entirely" focused on the Speaker.

Msekwa argues that discussion of Parliament proceedings did not breach the constitution; neither did the decision to discuss the conduct of MPs, including the Speaker, inside the Parliament.

He asks: "Was the Speaker ‘clobbered' in that meeting because of his front line position in the war against mafisadi? Was it a move by NEC to silence its vocal CCM MPs?' Providing the answer himself, he says: ‘NO answer' to both questions.
He adds that CCM's NEC has powers to discuss the conduct of its leaders because such a function is enshrined in the party's constitution.

"Article 108 of the Constitution of Chama cha Mapinduzi (CCM) describes the general functions of NEC meetings, whereby sub-article 108 ( prescribes the function of maintaining a regular watch over the conduct and actions of its members and leaders," points out Msekwa.

He says the meeting therefore proceeded with its business as empowered by the constitution to scrutinise and criticise CCM members of Parliament and House of Representatives for failure to respect constitutionally binding obligation of "safeguarding the interests of their political party in the House."

He says the Speaker was criticised for failure to observe, while guiding the proceedings of the House, the parliamentary conventions regarding the operation of the oversight function of parliament over the government in a multi-party Parliament.

Secondly, he explains, the CCM MPs were collectively criticised for failure to make proper use of their CCM Parliamentary Standing Committee, or caucus, whose functions are clearly spelt out in the Rules of the Committee, adding that the use of such Committee could have averted unnecessary public confrontations among them.

As for criticism against the Speaker, Msekwa says: "It is the non-observance of the conventions and principles that were adopted from the Westminster model by the Tanzania Parliament. It was the basis of the criticisms directed to the Speaker by NEC, and certainly not because of his stand regarding the war against ‘Ufisadi', which is the false impression that seems to be rapidly gaining ground."

He said since the government is accountable to Parliament, the Parliament may indeed criticize ministers, but should not obstruct them in the performance of their government functions.

He added that under the same conventions adopted from Westminster model always there is loyalty, discipline and a strong team spirit among the back-bench MPs of the ruling Party and that the Parliament's role is to exercise the oversight or control function over the government, but not to govern the country.

SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Changa la macho kuwa divert watu kutoka kwenye story inayoendelea sasa hivi.

Mambo ya August unasubiri leo kusema?
 
hampati mtu huyu!
Tunataka mambo ya kikao cha KAMATI KUU kilichoahirishwa, na CCJ BANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…