Msekwa Atoboa siri ya Butiama

Haaahaa.Kuna mapepo wanayakusanya kwa kushinda kwa waganga. Wanahitaji mtaalamu wa kuyapunga maana ni kama wamechanganyikiwa. Kila mtu anakuja na lake as if hakuna taratibu ndani ya chama
 
tatizo la msekwa ni kujifanya mjuaji huku ni mnafiki mkubwa hizo ni hasira za kuecnguliwa uspika miaka minne ilopita, ni mmoja wa mafisadi wakubwa tanzania, tena afunge domo lake kabla sijashusha rungu la maadili kwake anapoulizwa kitu awe na adabu kkukitolea majibu, hivi sisi emu inakuwaje na kiongozi mwenye majibu ya kihuni namna hiyoooo? Mwana shetani mkubwa huyu!!!!! inaonekana hana hata dini eee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…