Nawapa maana ya msela ss :-MSELA ni mtu ambaye haoni matatizo,hufanya anachotka na hajar watu watafikilia nn,yani ni mtu ambaye Yuko poa na kila mtu, anakuwa bize na mambo yake tu Hana Shobo,ila mtu huyooo ukimletea sizoo fasta anakuletea na yy, na sio tegemezi anaweza kuishi maisha yoyote Yale. Kimbelembele tunaweza tukasema Kama vile Eminem Yule ni msela, pia kuna mwingine unamkuta kimaisha yuko vizuri sana ila anaitikaeli za msela.