kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 867
Wakuu m nataka ntoe ya moyon Leo,Kama Na ww unalo lako moyon utatoa coz unaruhusiwa Na katiba iliyopo..
Kiukweli serikali ya mkemia inakurupka,maana inakimbilia kufanya mambo yasiyo Na faida yoyote kwa mtanzania aliye chini ya poverty line..Mfano suala la kuhamishia serikali dodoma,binafsi sio mchumi wala mhandisi lakn hilo suala linahtaji pesa nyng Sana, nimambo mangap yatasimama kutokana Na pesa nying ztakazo elekezwa huko?
Ni watanzania wangapi wanaish maisha yasiyo Na matumain Na nani wa kuwatoa huko waliko Kama serikali wanayo itegemea Ina wekeza ktka mambo yasiyo Na manufaa kwao?
Ni hayo Tu wakuu ila mkemia inabd atambue bado tunandoto Na Tanzania ya viwanda....!!
Kiukweli serikali ya mkemia inakurupka,maana inakimbilia kufanya mambo yasiyo Na faida yoyote kwa mtanzania aliye chini ya poverty line..Mfano suala la kuhamishia serikali dodoma,binafsi sio mchumi wala mhandisi lakn hilo suala linahtaji pesa nyng Sana, nimambo mangap yatasimama kutokana Na pesa nying ztakazo elekezwa huko?
Ni watanzania wangapi wanaish maisha yasiyo Na matumain Na nani wa kuwatoa huko waliko Kama serikali wanayo itegemea Ina wekeza ktka mambo yasiyo Na manufaa kwao?
Ni hayo Tu wakuu ila mkemia inabd atambue bado tunandoto Na Tanzania ya viwanda....!!