JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
The Chanzo imefanya mazungumzo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa juu ya masuala mtambuka ikiwemo suala la Serikali kuaminika kwenye taarifa inazozitoa kwa wananchi, Sakata la bandari Bagamoyo, matukio ya utekaji, utekelezaji wa miradi ya maendeleo, na kwa nini Rais Samia anapaswa kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025.