security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Leo Jumamosi Septemba 04, 2021 Msemaji Mkuu wa Serikali Mhe Gerson Msigwa atazungumza na Wanahabari na kutoa taarifa ya wiki kwa Watanzania kupitia vyombo vya habari kuanzia saa 5 asubuhi. Wananchi watapata fursa pia ya kuuliza maswali kwa kupiga simu kupitia Simu no: 0733111111
Usikose kufuatilia na itakuwa mubashara kupitia TBC, Maelezo TV, Channel 10, UTV, TV-E, Plus TV, Clouds TV.
#KaziInaendelea.
Usikose kufuatilia na itakuwa mubashara kupitia TBC, Maelezo TV, Channel 10, UTV, TV-E, Plus TV, Clouds TV.
#KaziInaendelea.