BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Asisahau na suala la Bandari.Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
hana lolote la maana atalizungumzia, rubbish tu! Kinywa cha bunduki hakijawahi toka na kauli nzuri kikifunguka (methali ya kabila fulani)Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
Hayo ndiyo masuala mbalimbali Kwa taifa kwa sasa. Tofauti ya hayo, naunga mkono, apumzike na familia kumalizia weekend yake.Asisahau na suala la Bandari.
Kilimanjaro International Airport
Ardhi yetu kuuzwa kwa Waarabu
Makonda kumdhalilisha wanawake
Wapemba kumiliki ardhi Tanganyika
Katiba mpya.
Zanzibar na wabunge 80.
Kikokoto
Wazanzibari kufanya kazi Tanganyika
Kura ya maoni kuhusu muungano
Kama hawezi kudadavu haya bora akae na mke wake asitusumbue.
Mkurya wa MaraMbona jina lenyewe kama msauzi, lesotho ama Botswana huko!!! 😳
Hana jipya huyu kada wa CCMMsemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
Bora uangalie marudio ya mpira kuliko huo uchafuSiwezi kupoteza muda. Hamna la maana zaidi ya uchawa na Ripoti za kupika.
Ukweli hana mvuto hata kidogoHuyu jamaa hana sura ya usemaji wa serikali. Sura yake nzito sana, alipaswa kuwa msemaji wa JWTZ ama polisi.