hayati wenu alikuwa jambaziTunaziba mgao wa umeme mkali kwa kiki ya kumsiliba hayati
za kwako wewe ulizorudishiwa ni ngapi?hayati wenu alikuwa jambazi
Hapa tunafanya mazungumzo ya wazi kwa fikra tunduizi, mawazo dhahania na maswali ya Kisokrati.Labda umpigie umuulize
Mh 🤔 means ilikua ni uporaji au wivu wa kimaendeleo?“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/
Atoe uthibitisho vinginevyo ni porojo kama nyingine“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/
Wengine walishakufa kwa BPSerikali ya mwenda zake ilifanya unyang'anyi na wizi mkubwa sana. Miaka waliyoua bihashara za watu hao pasina faida watawafidia wafanyabihashara hao?
Msigwa ni mtu wa hovyo snAtoe uthibitisho vinginevyo ni porojo kama nyingine
Bandari vipi mtarudisha kwa watanzania ?“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/
🙄 DuhMsemaji Alitakiwa Aachie Ngazi chap Chap
Maana Alikuwa Na Jiwe Wakati Yanafanyika Hayo
sh 1za kwako wewe ulizorudishiwa ni ngapi?