LGE2024 Msemaji Mkuu Wa Serikali: Ukishapiga kura rudi nyumbani

LGE2024 Msemaji Mkuu Wa Serikali: Ukishapiga kura rudi nyumbani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mkuu,

Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Thobiasi Makoba akitoa ujumbe kwa wanahabari na Watanzania kuhakikisha wanajitokeza kupiga kura kesho, Jumatano Novemba 27.2024 ili kuchagua viongozi wanaowataka

Soma pia: Msemaji Mkuu wa Serikali azungumzia mafuriko nchini, miaka 60 ya muungano na SGR ya Dar-Dom

Akizungumza na wanahabari eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam leo, Jumanne Novemba 26.2024 pamoja na mambo mengine Makoba ametoa rai kwa wananchi kurudi nyumbani wakipiga kura ili kusubiri matokeo.

 
Back
Top Bottom