Msemaji Tabora United: Timu yetu haitahitaji kikokotoo ligi ya mabingwa, Hili Dongo la Christina Mwagala kaliekeza kwa Timu gani?

Msemaji Tabora United: Timu yetu haitahitaji kikokotoo ligi ya mabingwa, Hili Dongo la Christina Mwagala kaliekeza kwa Timu gani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mtangazaji wa ITV Hosea Mchopa amemnasa Christina Mwagala Afisa Habari wa Tabora United ambaye ametamba kufanya usajili wa kutikisa kwa kutumia Shilingi milioni 500 kusajili wachezaji takriban wanne wakiwemo Wacameroon wawili Cedrick Zemba na Kipa Jean Noel Amonome.

Mwagala amesema lengo lao ni ubingwa wa Ligi Kuu ili wawakilishe nchi Kimataifa ambapo amesema, Tabora United haitahitaji kikokotoo (calculator) kupiga hesabu kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Pia, Soma:
- RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC

Chanzo: itvtz
 
Huyu mama nae anatetea ugali wake,ana haki ya kusema alichokisema, all in all ubingwa si kwa kila team, UBINGWA NI KWA AJIRI YA YOUNG AFRICANS SC. in GSM voice YANGA BINGWA.
 
NA wakishuka daraja waje wapige tantalila pia
Soon tutamnyamazisha tu tena asali tano bila
Huyu mama nae anatetea ugali wake,ana haki ya kusema alichokisema, all in all ubingwa si kwa kila team, UBINGWA NI KWA AJIRI YA YOUNG AFRICANS SC. in GSM voice YANGA BINGWA.
Tumecheza nao mara nne, wametufunga mara moja hatujawahi kutoa hata sare. Anatamba hivyo atakua anaumwa huyu mama.
Ana kitambi flani kizuri huyu anatekenyeka kabisa
Mbona hajataja timu yoyote kwanini mashabiki wa utopolo ndo mmekasirika?
 
Hao ni yanga wanaotembea na kikokotoo baada ya kufanya vibaya wakaona hesabu zao zimekaa vibaya kusonga mbele
 
Back
Top Bottom