Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe unaogopa nini kutoa Siri ya kilichokuwa kikiendelea Chamazi kilichokuwa kinafanywa na Yanga SC walipokuwa huko?

Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe unaogopa nini kutoa Siri ya kilichokuwa kikiendelea Chamazi kilichokuwa kinafanywa na Yanga SC walipokuwa huko?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kama mmeamua Kuhama hameni kimya kimya na acheni kuanza Kutuchafua kwani hata Sisi tuna yenu mengi sana tu ila tumeamua kunyamaza lakini mkiendelea na Upuuzi wenu tutaisimamisha nchi kwa kusema yale mliyokuwa mkiyafanya na ambayo mengi tumeyarekodi vile vile" amesema Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe ambaye GENTAMYCINE namjua in and out kuwa ni mwana Yanga SC lia lia tena hata kuliko Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe.

Hashim Ibwe (Msemaji wa Azam FC) acha kutupozea muda na Unafiki kama kuna unalolijua si uweke tu Hadharani?
 
Anaesema anataka kusema hasemi asichotaka kusema
Nenda uko ibwe
 
Back
Top Bottom