Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Msemaji huyo amenukuliwa akisema:
"Madaktari kwenye ngazi zote wote wako kwenye majukumu yao ya kawaida, hakuna mwenye wazo wala mwenye nia yakufanya mgomo.
Kwenye vifaa vya PPE sio kweli kuwa tumevikosa ama kuna uhaba hata kama kuna vifaa tunavikosa sisi huwa kuna namna tunavipata na hili halijawahi kutokea katika hospitali ya KCMC.
Unapozungumzia mitungi ya gesi sisi tuna kinu cha kuzalisha mitungi hiyo, kwa siku mitungi ya Kilo 40 huzalishwa 400 na ile ya Kilo 50 huzalishwa 250 hadi 300 kwa siku, hivyo hakuna uhaba"