Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire leo katika kipindi cha HQ EFM

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Masau Bwire Afisa habari wa Ruvu Shooting leo atakuwepo kwenye kipindi cha Head Quarter katika kituo cha EFM.

Baada ya jana kuwashughulikia Simba baada ya kuwasambazia kichapo uwanja wa Uhuru.

Kama mnavyomfahamu huyu msemaji bora hapa Tanzania leo, Sasa leo Simba wataendelea kushughulikiwa kwa maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…