Msemaji wa Serikali: Changamoto ni namna jengo lilivyoanguka, Watu wengi walinaswa kwenye Basement

Msemaji wa Serikali: Changamoto ni namna jengo lilivyoanguka, Watu wengi walinaswa kwenye Basement

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671

"Changamoto kubwa ni namna jengo lilivyodondoka maana watu wengi wamekamatika chini kwenye basement na jengo lilivyodondoka unaona upande mmoja jengo linaonekana na upande mwingine halionekani hivyo kifusi chote kimekusanyika upande mmoja sasa namna ya kukitoa kile kifusi kuwawahi watu na haujui mtu alibanwa upande gani." - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Kikubwa kinachoendelea sasa zoezi halijasimama tunaendelea na zoezi la uokoaji na leo ni kama siku ya tatu kimsingi wengine ni kama hatujalala na kuna vikosi, majeshi mbalimbali na wadau tumekuwa hapa usiku na mchana ili kuhakikisha wenzetu ambao wako chini iwe wako hai au ambao mauti imewakuta basi wote tunawatoa na kuwapa kile ambacho kwa hali yao wanastahili" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Taarifa ya kusitisha uokoaji inapofika saa 6 usiku sijui imetoka wapi? Mimi nimekuwa hapa usiku na mchana hakuna siku wala saa ambalo zoezi hili limesitishwa. Unaowaona viongozi wetu na polisi pamoja na maafisa mbalimbali wanacho
fanya ni kubadilisha shifti tu na sio shifti ya kuacha kufanya kazi, ni shifti ya kutoka mtu anaingia mtu. Hapa vikosi vyote tunavyo, kikosi cha zimamoto ambacho ndio kinatuongoza kipo kikosi kizima hapa anasaidiwa na JWTZ, polisi wako hapa, mgambo wapo hapa, skauti wapo wamekuja kujitoa na wapo watu binafsi na taasisi binafsi ambao wanafanya hizi shughuli wamejitolea kuja hapa" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Changamoto nyingine tunakwepa kutikisa huu upande unaoonekana kwa sababu ukitikisa upande huu unaweza kushusha jengo lote na hatutaki madhara yawakute wale walioko chini hivyo inabidi kutumia akili nyingi na uweledi mkubwa sio nguvu maana tunaona watu wanauliza mbona tunaona mashine, vifaa havitumiki niwaeleze hatuna changamoto ya kifaa wala rasilimali yoyote na ndio maana unaona maafisa wanakaa pembeni wanasubiri waitwe, na vifaa vyote viko hapa na Mhe. Rais amehakikisha vyote viko na ametoa kila kinachowezekana kwa amri yake watu wawe hapa lakini inabidi weledi na akili nyingi zitumike. Ukisema tufanye haraka, tutumie nguvu unaweza kusababisha madhara zaidi" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Tangu jana baada ya kupata njia maana kuna mahali unapata njia lakini ni ndogo huwezi kumpitisha mtu hivyo kinachofanyika kwanza ni kuwapelekea gesi ya oxygen ili kuhakikisha kule chini wanaweza kupumua, pili maji wanapelekewa na watabibu wametushauri ili kurudisha nguvu haraka ni kupata glucose na madaktari na wataalamu wa lishe wako hapa wanawapelekea vitu" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali
 
hamna kitu mbwa koko wewe siku 4 mlishindwa kuondoa hizo layers za juu hata kama ingekua kwa mikono leo siingekua wamemaliza kifusi chote wa chini wamefikiwa? ingekua maandamano hadi vifaru vya ngerengere na kule zanzibar ingeingia hapo dakika sifuri ila kuokoa watu mnaleta siasa MBWA nyie.
 
"Changamoto kubwa ni namna jengo lilivyodondoka maana watu wengi wamekamatika chini kwenye basement na jengo lilivyodondoka unaona upande mmoja jengo linaonekana na upande mwingine halionekani hivyo kifusi chote kimekusanyika upande mmoja sasa namna ya kukitoa kile kifusi kuwawahi watu na haujui mtu alibanwa upande gani." - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Kikubwa kinachoendelea sasa zoezi halijasimama tunaendelea na zoezi la uokoaji na leo ni kama siku ya tatu kimsingi wengine ni kama hatujalala na kuna vikosi, majeshi mbalimbali na wadau tumekuwa hapa usiku na mchana ili kuhakikisha wenzetu ambao wako chini iwe wako hai au ambao mauti imewakuta basi wote tunawatoa na kuwapa kile ambacho kwa hali yao wanastahili" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Taarifa ya kusitisha uokoaji inapofika saa 6 usiku sijui imetoka wapi? Mimi nimekuwa hapa usiku na mchana hakuna siku wala saa ambalo zoezi hili limesitishwa. Unaowaona viongozi wetu na polisi pamoja na maafisa mbalimbali wanachofanya ni kubadilisha shifti tu na sio shifti ya kuacha kufanya kazi, ni shifti ya kutoka mtu anaingia mtu. Hapa vikosi vyote tunavyo, kikosi cha zimamoto ambacho ndio kinatuongoza kipo kikosi kizima hapa anasaidiwa na JWTZ, polisi wako hapa, mgambo wapo hapa, skauti wapo wamekuja kujitoa na wapo watu binafsi na taasisi binafsi ambao wanafanya hizi shughuli wamejitolea kuja hapa" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Changamoto nyingine tunakwepa kutikisa huu upande unaoonekana kwa sababu ukitikisa upande huu unaweza kushusha jengo lote na hatutaki madhara yawakute wale walioko chini hivyo inabidi kutumia akili nyingi na uweledi mkubwa sio nguvu maana tunaona watu wanauliza mbona tunaona mashine, vifaa havitumiki niwaeleze hatuna changamoto ya kifaa wala rasilimali yoyote na ndio maana unaona maafisa wanakaa pembeni wanasubiri waitwe, na vifaa vyote viko hapa na Mhe. Rais amehakikisha vyote viko na ametoa kila kinachowezekana kwa amri yake watu wawe hapa lakini inabidi weledi na akili nyingi zitumike. Ukisema tufanye haraka, tutumie nguvu unaweza kusababisha madhara zaidi" - Thobias Makoba - Msemaji Mkuu wa Serikali

"Tangu jana baada ya kupata njia maana kuna mahali unapata njia lakini ni ndogo huwezi kumpitisha mtu hivyo kinachofanyika kwanza ni kuwapelekea gesi ya oxygen ili kuhakikisha kule chini wanaweza kupumua, pili maji wanapelekewa na watabibu wametushauri ili kurudisha nguvu haraka ni kupata glucose na madaktari na wataalamu wa lishe wako hapa wanawapelekea vitu" - Thobias Makoba - M
View attachment 3155110
semaji Mkuu wa Serikali
Hovyo kabisa.

Ajali hii ya kuporomoka kwa jengo huko Kariakoo imeivua nguo tena Serikali ya Tanzania kwa mara nyingine tena.

Katika Ajali ya kudondoka kwa ndege ya Precision Air kule Bukoba, Serikali haikujifunza kitu!

Katika Ajali ya maporomoko ya matope kule Hanang mkoani Manyara, Serikali haikujifunza kitu!

Na ajali nyingine nyingi ambazo zimewahi kutokea hapo kabla, nazo Serikali haikujifunza kitu!

Serikali hii ni kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Badala ya kununua vifaa vya uokozi kwa ajili ya utayari wa kupambana na majanga, yenyewe inanunua silaha za kijeshi ili kupambana na Waandamanaji kwa lengo la kulinda utawala usiondolewe madarakani! Yaani ni hovyo kabisa nchi hii.

It is very true that "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

Quote
 
Back
Top Bottom