kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Juzi kadanganya kuwa walifanya mawasiliano na Facebook,twitter na Instagram.Clown guy🤡🤡🤡
Kwamba jamaa amekurupuka 🤣🤣Nilistuka mapema sana !
Kwa hiyo jamaa ni mwarabu Muhamiaji wa zanzibar siyoSiyo Mtanzania ni MuOmani na Mzanzibari. Mwaka 1948 aliozaliwa kulikuwa hakuna nchi inaitwa Tanzania. Tanzania ni nchi iliyoanzishwa na Nyerere mwaka 1964. Machogo acheni kujipendekeza.
Yeye ni mzawa wa Zanzibar. Alifukuzwa nchi yake Zanzibar wakati wa yale mapinduzi ambayo ni haramu yaliyomwaga damu za watu wasio na hatia.Kwa hiyo jamaa ni mwarabu Muhamiaji wa zanzibar siyo
Ova
Huyo huwa mnasikiliza wa nini, mana kazi yake ndo hiyo kusifia kila kitu. Matokeo yake ndo hayo kujikuta anaingilia hata hasiyoyaelewa vyema.Juzi kadanganya kuwa walifanya mawasiliano na Facebook, twitter na Instagram.
wikipedia yake anasema ni mtanzania, ila ni raia wa UKProf. Gurna aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo Ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.
Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao Bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Wamesema mwenye asili ya kitanzania na siyo mtanzania. Aliondoka Zanzibar 1960 kwenda uingereza Kama mkimbizi na alipata uraia wa uingereza. Tanzania hairuhisu uraia pacha hivyo ni wazi ilimlazimu kuukana uraia wa Tanzania.Mbona BBC pia wanasema ni Mtanzania, au mimi ndo sielewi.
Hatuna huo muda mkuu kwa maana watanzania tunaowajua huwa hawafuatilii habari wakishaambiwa. wakiambiwa Mike Tyson ni mtoto wa mzee Wassira utakuta ndio habari iliyozagaa kila mtaa...Prof. Gurna aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo Ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.
Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao Bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Kule kuitetea CCM mitandaono ni Ukichaa kuzidi muokota makopo jararani. Maana huko jararani muokota makopo jararani aliwahigi kumuokota Paramagamba wa KabudiMkuu, Una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia
Kichaa sio lazima aokote makopo
Wewe tayari una kichaa cha kudumu na chadema
Inaonekana hata wakati wa kula tunda kimasihara lazima kitandani utamke ohooo Chadema, ohooooo ohooooo Chadema chadema
Hivi ndugu na familia hawakushangai kwani ukichaa wako ni level 90