Msemaji wa Simba anapoinadi mechi ya Simba na viwalo vya New York Yankees

Msemaji wa Simba anapoinadi mechi ya Simba na viwalo vya New York Yankees

Pellman

Senior Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
195
Reaction score
220
Msemaji wa Simba alipokuja redioni kuinadi mechi ya Simba na Yanga majuzi,

akiwa na advataizi ya mavazi ya timu ya mpira wa baseball ya New York Yankees

C9C5D30E-91C0-4A61-9CA4-5AA09D88450B.png

FE45EF38-59F1-4C04-9ADD-4C21C8374E0C.png

E0208AF9-2348-4069-9DA4-C0F356C76DF4.png
 
Alichelewa starehe amezijulia ukubwani/Limbukeni na anajiona ni kijana wa miaka 20
 
Nyamaza,,'tena wewe ndo usiseme kabisaa,,''kaa kimya ntakudhalilisha sasahivi.
''nina meseji zako humu kwenye simu ntazitoa hapa kwa wenzio nikudhalilishe'',,voice by Haji Manara.
 
Huyu bado ana ushamba sana ila huwa anajifanya mjaanja
 
Kwenye redio anamuona nani... Ulicho post ni umbea...
 
Mmemshindwa yeye binafsi sasa mmehamia kwenye mavazi yake. Utopolooooooo
 
Back
Top Bottom