GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hasira zangu zinaenda kwa Watu hawa Wafuatao....
1. Mwenyekiti Mangungu
2. CEO Barbara
3. Kocha Msaidizi Matola
4. Meneja Rweymamu
5. Mratibu Abbas
6. Kocha Mkuu Pablo
Kuna Watu Wanne tajwa hapa ni 'Virusi Waandamizi' ndani ya Klabu ya Simba na ndiyo kwa 99% wametumika 'Kuihujumu' Simba SC kwa kutoa 'Siri' za Klabu na Mipango yote kwa Wapinzani wetu huku wakilipwa Mamilioni na Kampuni ya Tapeli iliyo na Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta Mpya.
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally tunawapeni hadi Jumatano muwe mmeshatangaza rasmi Kuachana na Kocha Pablo na kumpa Timu Kocha wa muda (mwenye Uchungu na Simba SC) ili azimalizie hizi Mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizobakia.
Sijawahi kupandwa na Hasira kama Juzi.
1. Mwenyekiti Mangungu
2. CEO Barbara
3. Kocha Msaidizi Matola
4. Meneja Rweymamu
5. Mratibu Abbas
6. Kocha Mkuu Pablo
Kuna Watu Wanne tajwa hapa ni 'Virusi Waandamizi' ndani ya Klabu ya Simba na ndiyo kwa 99% wametumika 'Kuihujumu' Simba SC kwa kutoa 'Siri' za Klabu na Mipango yote kwa Wapinzani wetu huku wakilipwa Mamilioni na Kampuni ya Tapeli iliyo na Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta Mpya.
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally tunawapeni hadi Jumatano muwe mmeshatangaza rasmi Kuachana na Kocha Pablo na kumpa Timu Kocha wa muda (mwenye Uchungu na Simba SC) ili azimalizie hizi Mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizobakia.
Sijawahi kupandwa na Hasira kama Juzi.