Msemaji wa simba sports club

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
9,748
Reaction score
26,238
Nauliza hivi, hivi mwijaku bado ni msemaji rasmi wa club ya simba? Kama ndie mbona simaikii wala kumuona akiifanya kazi yake mana yupo kimya sana. Kama siye mwijaku basi ni nani? Au club bado ipo kwenye mchakato?

Mana nakumbuka ni kama simba ilimtangazaga mwijaku ila wadau wengi sana hawakukubaliana na uongozi wa simba wengi walimuona hastahili.

Mwenye majibu tafadhali
 
Mwijaku ni mhamasishaji
msemaji bado hawajateua
 
Mwijaku ni muhamasishaji tu,msemaji bado ajapatikana.
Kwasasa nafasi ya usemaji wa Simba imekaimiwa na kaimu hafisa habari Ally Chicharito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…