Msemaji wa Vipers Manzoki ana mkataba hadi 2025

Msemaji wa Vipers Manzoki ana mkataba hadi 2025

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Manzozi naye kajibu nakuja Simba nitakuwa mfungaji bora NBC .


Wakuu wanasimba naona akija ni vizuri ila asipokuja pia poa haya mashindano ya nini,Simba na Manzoki wamepeleka malalamiko shirikisho la mpira Uganda kwamba Simba wa terminate mkataba $200,000 wakati mchezaji kabakiza mwezi moja na nusu ,Vipers nao wanaweka ngumu kufoji mkataba hadi 2025 kama wa Morison.

Kuna za chini pia Utopolo wamepenyeza hela kwa chini vipers kwamba majamaa wagome contract termination Simba walipe $200,000 kwa miezi miwili iliyobaki halafu wao baada ya mkataba wa mchezaji kuisha watasema Asante kwa club,na watamchukua kwa dirisha ndogo

Naona Simba wamwache tu wameshachemka
 
Manzozi naye kajibu nakuja Simba nitakuwa mfungaji bora NBC .


Wakuu wanasimba naona akija ni vizuri ila asipokuja pia poa haya mashindano ya nini,Simba na Manzoki wamepeleka malalamiko shirikisho la mpira Uganda kwamba Simba wa terminate mkataba $200,000 wakati mchezaji kabakiza mwezi moja na nusu ,Vipers nao wanaweka ngumu kufoji mkataba hadi 2025 kama wa Morison.

Kuna za chini pia Utopolo wamepenyeza hela kwa chini vipers kwamba majamaa wagome contract termination Simba walipe $200,000 kwa miezi miwili iliyobaki halafu wao baada ya mkataba wa mchezaji kuisha watasema Asante kwa club,na watamchukua kwa dirisha ndogo

Naona Simba wamwache tu wameshachemka
 
Manzozi naye kajibu nakuja Simba nitakuwa mfungaji bora NBC .


Wakuu wanasimba naona akija ni vizuri ila asipokuja pia poa haya mashindano ya nini,Simba na Manzoki wamepeleka malalamiko shirikisho la mpira Uganda kwamba Simba wa terminate mkataba $200,000 wakati mchezaji kabakiza mwezi moja na nusu ,Vipers nao wanaweka ngumu kufoji mkataba hadi 2025 kama wa Morison.

Kuna za chini pia Utopolo wamepenyeza hela kwa chini vipers kwamba majamaa wagome contract termination Simba walipe $200,000 kwa miezi miwili iliyobaki halafu wao baada ya mkataba wa mchezaji kuisha watasema Asante kwa club,na watamchukua kwa dirisha ndogo

Naona Simba wamwache tu wameshachemka
Mlisema hatuna hela imeishia kwa Aziz Ki nyie ni matajiri onyesheni umwamba wenu sasae hapo vilio vya nini
 
Wewe kaa ukijua tu Manzoki anaitaka Simba SC na mazungumzo yameshafanyika, wanachofanya hao Vipers ni visirani tu, haitawasaidia chochote mwiaho wa siku jamaa atatua Msimbazi.
 
Wewe kaa ukijua tu Manzoki anaitaka Simba SC na mazungumzo yameshafanyika, wanachofanya hao Vipers ni visirani tu, haitawasaidia chochote mwiaho wa siku jamaa atatua Msimbazi.
Ndio raha ya mchezaji kumsainisha mkataba mrefu,si huku mkataba mwaka mmoja sijui miwili........ ndio maana wachezaji
wanauzwa hatujui wanauzwa kwa bei gani "tunasikia kauzwa kwa hela nyingi........lkn hawataji kiasi...",yaani ujanja ujanja tu kwenye mikataba.
 
Back
Top Bottom