ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Soma barua hapo juuMimi shabiki wa Simba..
But unamfungiaje mtu miaka mitatu?
Aache kazi au aachishwe?
Wangempa faini ambayo angeweza lipa
Haji ata aondoke Simba bado ataendelea kuwa na maisha mazuri tu maana jamaa ana deals za matangazo kwa makampuni mengi sana, ila bumbuli ye waga anajiropokea tu maskini ya Mungu yupo yupo tuView attachment 1687701
Pole sana Hassan,hili liwe fundisho kutaka kushindana na Haji Manara next level
milion 5 tu inamshinda kulipa.sijui jeuri anatoa wapiHaji ata aondoke Simba bado ataendelea kuwa na maisha mazuri tu maana jamaa ana deals za matangazo kwa makampuni mengi sana, ila bumbuli ye waga anajiropokea tu maskini ya Mungu yupo yupo tu
Yule injinia siyo wa kumuamini Sana maana alisema wamemlipiaYanga wamekosa m5 ya faini kwa kijakazi wao!!
Aibu kubwa hii.
Mimi shabiki wa Simba..
But unamfungiaje mtu miaka mitatu?
Aache kazi au aachishwe?
Wangempa faini ambayo angeweza lipa
Wewe unaamini vipi Kama kweli yanga walimpa pesa?Soka LA bongo Kuna, mchezo mchezo unachzwa hapo tff n wapgaj wakubwa
Maku Hawa, huyo jamaa n kua tff hawakua wanamtaka walikua wanatafta tu kes ndo wamuekee,,,, Maana yanga wanasema pesa walimpa Hasan akaenda kulipa
Full iweje jamaa afungiwe
Huku n kudhalilisha club
Usimchanganye na Antonio Nugaz was clouds. Nugaz in muhamasishaji, Bumbuli ni msemaji wa timu.Ana kibarua clouds,kama hakunyea kambi lkn.