Msemaji wa Yanga hana tofauti na yule Comical Ali, kelele nyingi mashabiki uwanjani hakuna

Msemaji wa Yanga hana tofauti na yule Comical Ali, kelele nyingi mashabiki uwanjani hakuna

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kijana kazi imemshinda, nimeona mashabiki wa Yanga wanalaumiana kwenye mitandao kuwa hawaendi uwanjani, wanashindwa na ma Shabiki wa Simba, mmoja wa mashabiki hao anaitwa God Yanga, amelalamika sana kuwa licha ya timu yao kuwa nzuri lakini mashabiki wake wengi hawaendi uwanjani au wanasubiri dezo.

Huwa najiuliza sana yule msemaji wao kila cku kutukana na kuiongelea Simba akidhani anaishusha kumbe anaonekana yeye ndio bwege mtozeni.

Badilisheni idara hiyo huyu dogo Hana uwezo wa kujaza wala kuhamasisha mashabiki uwanjani.
 
Wew nimbumbumbu yan kwenda uwanjan mnahitaj hadi mhamasishwe
 
Back
Top Bottom