GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na ndiyo maana baada ya Kuugundua huu Ujuha wa NBC Premier League nimerejea Kuishangilia Liverpool yangu EPL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muraaa umefanya maamuzi sahihi,ligi ya magumashi mpira umevamiwa!Na ndiyo maana baada ya Kuugundua huu Ujuha wa NBC Premier League nimerejea Kuishangilia Liverpool yangu EPL.
Nimemsikiliza kocha msaidizi wa singida black stars fc, kathibitisha kwamba wanautaka ubingwa wa NBC premier leagueHapa Ally Kamwe anamaanisha Singida Balck Stars wanautaka ubigwa wa NBC League hivyo wanajituma wafikie lengo hilo kuna timu zinaponyeza na Yanga zinafuata siasa kuikomoa Yanga kwa sababu ya Simba au Azam lkaini Big stars wanautaka ubingwa sasa walikamia washinde na waumize wachezaji ili wafikie lengo lao !!!
Yaani tangu tuwatie kimoja, ie(tukaliziba tundu) hawa wamama wanaoshiriki vicoba cup kule CAF wamekuwa na malalamiko kwa mumewe mpaka wanakera. ukijifungua tu tunatia nyingine.Ya kwamba uache Kubeba Mimba hovyo au?
Hongera kwa kuishabikia Liverpool timu BoraNa ndiyo maana baada ya Kuugundua huu Ujuha wa NBC Premier League nimerejea Kuishangilia Liverpool yangu EPL.
Mawazo yako au ya Ally kamwe?Hapa Ally Kamwe anamaanisha Singida Balck Stars wanautaka ubigwa wa NBC League hivyo wanajituma wafikie lengo hilo kuna timu zinaponyeza na Yanga zinafuata siasa kuikomoa Yanga kwa sababu ya Simba au Azam lkaini Big stars wanautaka ubingwa sasa walikamia washinde na waumize wachezaji ili wafikie lengo lao !!!
Kuna tofauti kati ya matusi/Ngono na tendo la ndoa.Bila hayo Matusi aliyekubeba Tumboni Kwake Miezi Kenda angekuzaa Mpiga Mluzi Wewe?
Ametafsiri kwani Ali Kamwe alizungumza kipare. Ndio huyu kaja na tafsiri yake kutoka kipare kutafsiri alichosema Ali Kamwe.Mawazo yako au ya Ally kamwe?
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣..mYaani tangu tuwatie kimoja, ie(tukaliziba tundu) hawa wamama wanaoshiriki vicoba cup kule CAF wamekuwa na malalamiko kwa mumewe mpaka wanakera. ukijifungua tu tunatia nyingine.