Msemakweli ni mpenzi wa Mungu

kadeti

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
1,115
Reaction score
1,105
Ni bora sasa ZFA wakawa wanachama wa FIFA na CAF and then TFF wakawa watazamaji kwanza msomali na mpira wapi na wapi.......
 
ubaguzi haufai, hukumu kwa kushindwa kwake usihukumu kwa asili yake.
 
Ila kweli nadhani wazanzibar kwenye mpira tunawadidimiza sisi,fanye mchakato caf na fifa kuwatambua
 
ubaguzi haufai, hukumu kwa kushindwa kwake usihukumu kwa asili yake.
Weye uoni soka letu linavyodidimizwa na wachumia tumbo, wakitoka awa wanaingia wengine wapigaji soka la bongo lishakuwa km uwanja wa siasa, kwaiyo kabaki Zanzibar ndiye anaye tutowa kimasomaso baada ya wachumia tumbo kuondoshwa mashindanoni, big up Zanzibar heroes
 
acha ubaguzi, mfano ally mwanakatwe, ndolanga na hata tenga walisemwa lakini si kutaja makabila yao.
 
Inaudhi sana tatizo watu wale wale tu toka najitambua hadi leo
 
ungetaja nafasi yake sawa, kwanini utaje msomali kama si ubaguzi ni kitu gani?
Mkuu, ubaguzi umeshajijenga. Mtanzania halisi ni yule mweusi tii ambaye hajui hata chimbuko la babu zake. Tuna safari ndefu mpaka inakatisha tamaa! Msomali, Mhindi, Mzungu, Mwarabu... wakimaliza huko wataanza jaluo, makonde, sukuma, mawia...
 
Hao hadhi yao cecafa tuu michuano ambayo hata fifa cjui kama inayajuaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…