MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Habarini wakuu,
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna huu msemo uliozoeleka wa "utakiona cha mtemakuni" huu ni msemo wa kuonya au kutisha kuwa usipofanya kama ulivyoelekezwa na mhusika basi utapata tabu sana.
Nijuavyo mimi kila kitu kina origin yake. Huyu "mtemakuni" alikuwa ni nani? au ilikuwa ni kitu gani? Au hapo awali kulikuwa na mtu mbabe kiasi kwamba alikuwa anatisha hadi anatema kuni live?
Samahanini kama mtaona ni swali la kijinga ila huwa linanipa wakati mgumu sana kila nikimuwaza huyu "mtemakuni"
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna huu msemo uliozoeleka wa "utakiona cha mtemakuni" huu ni msemo wa kuonya au kutisha kuwa usipofanya kama ulivyoelekezwa na mhusika basi utapata tabu sana.
Nijuavyo mimi kila kitu kina origin yake. Huyu "mtemakuni" alikuwa ni nani? au ilikuwa ni kitu gani? Au hapo awali kulikuwa na mtu mbabe kiasi kwamba alikuwa anatisha hadi anatema kuni live?
Samahanini kama mtaona ni swali la kijinga ila huwa linanipa wakati mgumu sana kila nikimuwaza huyu "mtemakuni"