Pics JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 240 Reaction score 181 Jul 18, 2023 Thread starter #21 balibabambonahi said: Unalingana na wa CCC sasa? Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app Click to expand... Kazi yangu ni nyepesi kunyosha vidole tu wengine wanafa ya,Sina watu wanaumia kwa mamilioni wakikosa matokeo mazuri.unawafanyia kazi nzuri watu zaidi ya milioni 15,afu unapata kahela hako hapana
balibabambonahi said: Unalingana na wa CCC sasa? Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app Click to expand... Kazi yangu ni nyepesi kunyosha vidole tu wengine wanafa ya,Sina watu wanaumia kwa mamilioni wakikosa matokeo mazuri.unawafanyia kazi nzuri watu zaidi ya milioni 15,afu unapata kahela hako hapana
Pics JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 240 Reaction score 181 Jul 18, 2023 Thread starter #22 momentoftruth said: Huo mshahara ni mkubwa sana aende kwao Zambia akale laki 9 Click to expand... Makolo walimgomea kocha alipomtoa ,na kumtaka afuate mfumo wa Chama Kama Chama haingii kwenye mfumo wake (Robertidho)akiondoka Chama inashuka daraja
momentoftruth said: Huo mshahara ni mkubwa sana aende kwao Zambia akale laki 9 Click to expand... Makolo walimgomea kocha alipomtoa ,na kumtaka afuate mfumo wa Chama Kama Chama haingii kwenye mfumo wake (Robertidho)akiondoka Chama inashuka daraja
Mangungo II JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 18,133 Reaction score 26,766 Jul 18, 2023 #23 Chama ni kama big G iliyoisha utamu
S Stratopause JF-Expert Member Joined Mar 26, 2023 Posts 751 Reaction score 1,461 Jul 18, 2023 #24 Yeah aza ndio timu y The Boss said: Azam kuna Ahmada? Click to expand... Yeah azam ndio timu yenye wazenji wengi kwa tz
Yeah aza ndio timu y The Boss said: Azam kuna Ahmada? Click to expand... Yeah azam ndio timu yenye wazenji wengi kwa tz
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Jul 19, 2023 #25 Action and Reaction said: Aliachaje mshahara mkubwa then akaja simba kwenye mshahara mdogo? Kumbe hata wewe mwenyewe huna akili kama Chama wako! Click to expand... Mkuu kwani umesahau kuwa huko wenye akili ni wawili tu?
Action and Reaction said: Aliachaje mshahara mkubwa then akaja simba kwenye mshahara mdogo? Kumbe hata wewe mwenyewe huna akili kama Chama wako! Click to expand... Mkuu kwani umesahau kuwa huko wenye akili ni wawili tu?
Yoav Gallant JF-Expert Member Joined May 23, 2023 Posts 2,122 Reaction score 4,699 Jul 19, 2023 #26 Chiba anajilia tu penshen