Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara unatofautiana mkuu kutegemea umeajiriwa taasisi gani ya serikali,mfano civil engineering level 6 halmashaurii ni Tgs C=580000,ukiajiriwa Tanroad ni 1M+,ukiajiriwa RUWASA=680000+ ,TRC,=680000,,,,Kiufupii kiwango kidogo ni 580000 na kiwango kikubwa ni 1.2M+ TanapaNaomba kujua mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye civil engineering serikalini.
Mkuu moja kati ya course ambazo unabidi ujichanganye kwenye site za wachina ni hii....tarura wamezubaa hawatangazi ajirakwamba serikali haifanyi ajira kabisa kwenye hii sector