Mshahara umeshatoka wanaodai na kudaiwa njooni hapa

Walipe kodi zetu sisi tuhangaishwa na serikali kulipa kodi ili wao wasome tena wenyewe kwa mbwembwe kabisa na hasira walikuwa wanagoma na kuandamana kuishinikiza bodi iwape mikopo sasa basi ni zamu ya serikali kuchukua pesa zake mnataka msilipe mikopo ili bodi ishindwe kujiendesha baadae mje tena hapa kuikashifu serikali kuwa imeshindwa kutoa mikopo lipeni tena wangekata 30% ili muwahi kumaliza deni la kodi zetu
 
mshahara awamu hii ni kitendawili had thread!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…