Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Heshima kwenu.
Naomba kujuzwa, hivi hizi kampuni za mikopo huwa zinalipa mshahara wa Tshs ngapi kwa afisa mikopo?
Je, mbali na mshahara huwa Kuna benefits zingine ambazo mfanyakazi anapata?
Naomba kujuzwa, hivi hizi kampuni za mikopo huwa zinalipa mshahara wa Tshs ngapi kwa afisa mikopo?
Je, mbali na mshahara huwa Kuna benefits zingine ambazo mfanyakazi anapata?