Maahirika Kibao ya Kimataifa wanacheki CV tu na wala c Vyeti, Vyeti vinatengenezwa, Care wao wenyewe hawdill na vyeti sana kwa sa babu wanauzoefu wa kujaili watu wenye GPA kari sana na walipo fika kazini wakafanya kinyume na vyeti vyao.
Kuhusu Mishahara ya Care inategemeana na vitu vingi sana
1. Mradi unao kuajili- Care huwa ajira zao zinategemeana na mradi, make care bila mieadi hakuna kazi
2. Kazi unayo fanya- Hapa namanisha position yako, umeajiliwa kama nani? hapa hakuna ishu za vyeti
Care wana miradi mingi sana but unaweza shangaa wafanya kazi wa maradi fulani labuda, mradi wa Afya sehemu fulani wao wakiajiliwa wanapewa kila kitu means Laptop, Air time kila mwezi na kazalika, Na wafanyakazi wa maradi labuda wa mazingira wasipate hivyo vitu
SO MASILAHI CARE YANATEGEMEANA SANA NA MRADI ULIOKUJILI NA HUO MURADI UNA FUNGU KIASI GANI, NA TERM AND CONDITION ZA HUO MURADI ZIKOJE,