Mshahara wa Direct Sales Agents NBC upoje?

Mshahara wa Direct Sales Agents NBC upoje?

Hizo nafasi ni mkataba wa muda gani na muda ukiisha kuna uwezekano wa kuajiriwa moja kwa moja ?
 
Daaah. Umenikumbusha mbali sana. Hiyo ndio ilikua ajira yangu ya kwanza hapo NBC bank wakati nimemaliza Form Six 2008.
Nilipangiwa Samora branch na kulikuwa na scheme ya Group Loan kwa wafanyalazi wa Manispaa ya Ilala. Mshahara ulikia 180,000 ila commission ilikuwepo.
The good thing na hii nafasi kuwa ukimpatia mtu mkopo wateja walikua wanatoa sana tip. Kwa siku kulaza 50,000 ilikua kawaida sana
 
Daaah. Umenikumbusha mbali sana. Hiyo ndio ilikua ajira yangu ya kwanza hapo NBC bank wakati nimemaliza Form Six 2008.
Nilipangiwa Samora branch na kulikuwa na scheme ya Group Loan kwa wafanyalazi wa Manispaa ya Ilala. Mshahara ulikia 180,000 ila commission ilikuwepo.
The good thing na hii nafasi kuwa ukimpatia mtu mkopo wateja walikua wanatoa sana tip. Kwa siku kulaza 50,000 ilikua kawaida sana
Mkuu, ni kweli ajira zikitoka huwa wanachukua hawa watu wa sales ? Yani huwa inafanyika internal recruitment? Tunaomba experience yako kwa hilo
 
Naomba kujua hizi kazi unapangiwa kituo maalum au unazunguka mitaani,,,(kwa upande wa benki)
 
Back
Top Bottom