Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TGS E.Tafadhali eti mshahara wa engineer wa halmashaur kiasi gani?
Si Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata sh.950,000 kabla ya Makato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hata 1,500,000.Engineer wa halmashauri ni engineer Kama maengineer wengine tuu nadhani hata malipo yapo katika viwango sawa na maengineer wengine ambao wapo kwenye projects za construction, planning, designing n.k kwa sababu engineer wa halmashauri/manispaa hufanya hizo shuguli pia.
Aaah...!!! Ok nashukuru kwa kuniweka sawa.Si Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata 950,000 kabla ya Mapato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hats 1,500,000.
So utofauti upo, kutokana na mashirika ya kiserikaliSi Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata 950,000 kabla ya Mapato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hats 1,500,000.
Si Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata sh.950,000 kabla ya Makato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hata 1,500,000.
Najiuliza kwa nini nchi yetu mishahara ni siri bado tofauti na nchi zilizoendelea?Si Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata sh.950,000 kabla ya Makato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hata 1,500,000.
Kama Engineers wengi Wa TANROADS hawakaagi Ofisini Kuzurura mtindo mmoja Night allowance yao kwa Siku ni ndefuMasomo magumuu
MMshahara kiduchu
hiyo 1,500,000 haifikiihata hela anayolipa Diamond kwa Hamisa, imebaki laki tano.Si Kweli Malipo ya LGAs ni Kiduchu sana nahisi wanapata sh.950,000 kabla ya Makato Huku Engineer wa Tanroads wanapiga hata 1,500,000.
Ahaaa ahaaa hiyo 1.5m ni kabla ya makato.Na haya makato ya bodi unaweza kwenda home na 1.1mhiyo 1,500,000 haifikiihata hela anayolipa Diamond kwa Hamisa, imebaki laki tano.
Mkuu yule akienda Site allowance ni 100,000 wanakaaga hata siku 10 au 14 unashagaa analipwa 1,400,000 kama Night Allowance 150,000 kama Launch allowance bado kwenye miradi wanashirikiana na Wahandisi kupiga pesa.hiyo 1,500,000 haifikiihata hela anayolipa Diamond kwa Hamisa, imebaki laki tano.
hahaha, hiyo laki moja ni allowance ya most of ninyi wafanyakazi wa umma, hata ukikaa siku 10 bado ni hela ndogo tu mkuu. tusibishane tafadhali hebu kaa kimya!Mkuu yule akienda Site allowance ni 100,000 wanakaaga hata siku 10 au 14 unashagaa analipwa 1,400,000 kama Night Allowance 150,000 kama Launch allowance bado kwenye miradi wanashirikiana na Wahandisi kupiga pesa.
Engineer wa halmashauri ni engineer Kama maengineer wengine tuu nadhani hata malipo yapo katika viwango sawa na maengineer wengine ambao wapo kwenye projects za construction, planning, designing n.k kwa sababu engineer wa halmashauri/manispaa hufanya hizo shuguli pia.
siyo kweli eng wa halmashauri hafanani mshahara na eng wa tanesco... kwa hiyo kila secta wana scale zao za mishaharaEngineer wa halmashauri ni engineer Kama maengineer wengine tuu nadhani hata malipo yapo katika viwango sawa na maengineer wengine ambao wapo kwenye projects za construction, planning, designing n.k kwa sababu engineer wa halmashauri/manispaa hufanya hizo shuguli pia.
Mimi pia nina mashaka Kama umelewa maelezo yangu, Soma vizuri kwa ufasaha usikimbilie kuvamia vitu ambavyo ujavielewa vizuri.Umelielewa swali? She/he mean Eng mtumishi wa serikali anaefanya halmashauri ambae huwezi kumfananisha na Eng aliopo kwenye shirika la umma, private sector au aliejiajiri mwenyewe
Wanaojua watakusaidia
Ila nijuavyo mm may deal ndio zilkuwa zinawabeba sijui kama wanamshahara mkubwa