Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu ...poleni na majukumu ya hapa na pale
Niende moja kwa moja kwenye mada..Mimi Kuna kipindi niliajiriwa Sasa mwaka Jana mwezi wa sita Mimi na jamaa zangu tukatimuliwa...nikalipwa kifuta jasho changu na ndipo nikanunua boda.
Sasa swala linakuja ni moja ...Mimi nikikaa,, kijichanganya kijiweni nikiamka mapema mpka usiku sikosi efu 30000 na kula na mafuta tayri...
Ila Kuna kazi nimepata ni ya Kila siku asubuhi Hadi usiku mshahara laki Tano.??je hapo wakuu nikimbilie wapi?
Niende moja kwa moja kwenye mada..Mimi Kuna kipindi niliajiriwa Sasa mwaka Jana mwezi wa sita Mimi na jamaa zangu tukatimuliwa...nikalipwa kifuta jasho changu na ndipo nikanunua boda.
Sasa swala linakuja ni moja ...Mimi nikikaa,, kijichanganya kijiweni nikiamka mapema mpka usiku sikosi efu 30000 na kula na mafuta tayri...
Ila Kuna kazi nimepata ni ya Kila siku asubuhi Hadi usiku mshahara laki Tano.??je hapo wakuu nikimbilie wapi?